Ukitaka kujua sisi waafrika, pamoja tumetukanwa lakini watu wametoa LIKE za kutosha. Wacha jamaa atutukane tuuuAtasema anavyo taka kwasababu anajua hatuna jeuri ya kufanya lolote. Sie kazi yetu ni kubeba bakuli kila tunapo muona mzungu. Waafrika tunaendekeza njaa na siku zote omba omba anadharaulika.
Gabon pia mkuu wanapitisha kama Uganda kuhusu ukwamo wa Rais madarakaniTanzania pyu pyu pyuu
Vipi kuhusu wazazi wako na wewe mwenyewe?Ni kweli Waafrika ni watu wachafu sana.
Wazazi wangu si waafrika wachafu.Vipi kuhusu wazazi wako na wewe mwenyewe?
Aaaah sasa unaanza kuelewa kua uchaf ni neno tataKuna uchafu zaidi ya ushoga wanaoueneza wao Wamarekani?
Mchafu ni wwe na Trump wako wala sio Waafrica.Ni kweli Waafrika ni watu wachafu sana.
Obama is landing in dirties city in the world! Everton is landing in the cost village in east africaNi kweli Waafrika ni watu wachafu sana.

Watu walishangilia! Ati alikua anatania!chabuso,
..Tz inapaswa kulaani kauli ya Trump.
..lakini usisahau kauli mbaya zilizoelekezwa kwa wananchi wa kagera na yule jamaa yetu. Nazo zinapaswa kulaaniwa.
Huwa naona aibu ninapoona jiji pekee la nchi (Dar) linakosa maji ya uhakika ya bomba na kusababisha watu kujaza vyombo vya maji ndani ya nyumba. Watu kutwa wako bize na ndoo zao kwenda kutafuta maji. Maji ya visima tena ya chumvi ndiyo yanakuwa kimbilio, na of course hayana viwango na yanasababisha fungus hatari!Trump amesama ukweli ila aibu ni viongozi wetu mpaka sasa nchi yetu miaka 50+ baada ya uhuru.....tunahimiza watu kua na vyoo eti "nyumba ni choo" kwenye t.v. na radio.......tunaambiwa kunawa mikono baada ya kutoka chooni duh eti a wamu ya 1,2,3,4,5 mafanikio sufuri shule za msingi hazina toilets na running water eti elimu bure nauchafu wote huo.
Endelea kuwapa hao wazungu hlo jicho kama unadhani usafi ni rangiNi kweli Waafrika ni watu wachafu sana.