Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
Wakuu
hali imebadilika na sasa hapa Botswana wageni hasa wafanya biashara wenye makampuni na wafanya kazi wanaofanya serikalini na makampuni binafsi wameanza kufungasha virago baada ya mambo kubadilika ghafla,serikali ya hapa imeleta sera mpya inayobana wageni kiasi kwamba ukiwa mgini huwezi kabisa kufanya biashara,hilo limewafanya wengi washindwe kuishi hapa baada ya kuonekana serikali inaleta standard ya Europe,
baada ya kuwanyima wageni wengi permit za kuishi na kufanya kazi sasa wameanza kulazimisha makampuni ya wageni kutopewa kazi na tunakoelekea sasa hivi ni kufungasha
tulifikiri wamelenga wakenya peke yao kwani kila mkenya aliyeomba permit alitolewa nje,sasa wamegeuza kibao na kuandama wageni wote ijapokuwa kwa watanzania wanalegeza kamba kidogo
ndugu zangu tunarudi nyumbani tujenge taifa letu,hayo maneno nimewaambia waswana na kuwahakikishia kuwa watakuja juta kwani hawa watu bado ni immature
tunarejea nyumbani tukiamini mtatupokea baada ya kuishi nje ya nchi yetu kwa miaka ming,mimi binafsi nimeishi botswana miaka 12 sasa
tunaamini siasa za tanzania hazitatuvunja moyo kwani tunakuja ku share skill na life education kwa ujumla tuliyoipata huko nje
tunaamini serikali itagundua uwezo mkubwa tulio nao na kututumia tuweze kuendeleza nchi yetu
hali imebadilika na sasa hapa Botswana wageni hasa wafanya biashara wenye makampuni na wafanya kazi wanaofanya serikalini na makampuni binafsi wameanza kufungasha virago baada ya mambo kubadilika ghafla,serikali ya hapa imeleta sera mpya inayobana wageni kiasi kwamba ukiwa mgini huwezi kabisa kufanya biashara,hilo limewafanya wengi washindwe kuishi hapa baada ya kuonekana serikali inaleta standard ya Europe,
baada ya kuwanyima wageni wengi permit za kuishi na kufanya kazi sasa wameanza kulazimisha makampuni ya wageni kutopewa kazi na tunakoelekea sasa hivi ni kufungasha
tulifikiri wamelenga wakenya peke yao kwani kila mkenya aliyeomba permit alitolewa nje,sasa wamegeuza kibao na kuandama wageni wote ijapokuwa kwa watanzania wanalegeza kamba kidogo
ndugu zangu tunarudi nyumbani tujenge taifa letu,hayo maneno nimewaambia waswana na kuwahakikishia kuwa watakuja juta kwani hawa watu bado ni immature
tunarejea nyumbani tukiamini mtatupokea baada ya kuishi nje ya nchi yetu kwa miaka ming,mimi binafsi nimeishi botswana miaka 12 sasa
tunaamini siasa za tanzania hazitatuvunja moyo kwani tunakuja ku share skill na life education kwa ujumla tuliyoipata huko nje
tunaamini serikali itagundua uwezo mkubwa tulio nao na kututumia tuweze kuendeleza nchi yetu