Botswana imeniingia Akilini

Botswana imeniingia Akilini

Ndugu zanguni sina mengi ya kusema, Binafsi ni mdau wa JF, nimekuwa nikisoma uzi kibao kuhusu nchi ya Botswana
Sasa kila nikitembea moyo umeja Botswana
Nina viwanja viwili, nimeamua niviuze ndani ya mwaka huu nihakikishe nahamia huko, sihitaji kuajiliwa, ntajiajili mwenyewe tu,

Najua nikiwa na wasitani wa million 10 sitakosa hata Mashine na vioo ili nifungue hata saluni ya kiume.

Mwisho kabisa, km kuna mtu anampango wa kwenda huko ani pm tupange mipango tushuke pamoja
NB:Tutakae kwenda pamoja asiwe mvuta sigara, bangi, mnywa pombe, mpenzi wa madem
Kiufupi awe ni mtu asie tumia kilevi.
Kwa hiyo hata madem ni kwako Ni kilevi.Sasa uwe makin mkuu,hiyo ni dalili mbaya Sana.
 
Mkuu wanaongea lugha gani huko
Gaborone_482.jpg


911797745df682ce99f09e62e8f98230.jpg



Gaborone%20Botswana%205.JPG

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The Richest Countries In Africa
Rank Country Name GDP Per Capita (International Dollar)
1 Equatorial Guinea $38,700
2 Seychelles $28,000
3 Mauritius $20,500
4 Gabon $19,300
5 Botswana $16,900
6 Algeria $15,000
7 Libya $14,200
8 South Africa $13,500
9 Egypt $12,100
10 Namibia $11,800
11 Tunisia 11,700
12 Swaziland $9,800
13 Morocco $8,400
14 Angola $6,800
15 Republic of the Congo $6,800
16 Cape Verde $6,700
17 Nigeria $5,900
18 Sudan 4,500
19 Ghana $4,400
20 Mauritania $4,400
21 Zambia $3,900
22 Côte d'Ivoire $3,600
23 Djibouti $3,400
24 Kenya $3,400
25 Cameroon $3,300
26 São Tomé and Príncipe $3,300
27 Lesotho $3,100
28 Tanzania $3,100
29 Senegal $2,600
30 Chad $2,600
31 Mali $2,300
32 Benin $2,200
33 Uganda $2,100
34 Rwanda $1,900
35 Ethiopia $1,900
36 Burkina Faso $1,800
37 South Sudan $1,700
38 Zimbabwe $1,700
39 The Gambia $1,700
40 Sierra Leone $1,700
41 Guinea-Bissau $1,600
42 Comoros $1,500
43 Togo $1,500
44 Madagascar $1,500
45 Guinea $1,300
46 Eritrea $1,300
47 Mozambique $1,200
48 Niger $1,100
49 Malawi $1,100
50 Liberia $900
51 Burundi $800
52 Democratic Republic of the Congo $800
53 Central African Republic $700
54 Somalia $400
Congo ilitakiwa iwe na uchumi mkubwa sana kutokana na wingi was madini.
Pray The Lord Jesus Christ.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zanguni sina mengi ya kusema, Binafsi ni mdau wa JF, nimekuwa nikisoma uzi kibao kuhusu nchi ya Botswana
Sasa kila nikitembea moyo umeja Botswana
Nina viwanja viwili, nimeamua niviuze ndani ya mwaka huu nihakikishe nahamia huko, sihitaji kuajiliwa, ntajiajili mwenyewe tu,

Najua nikiwa na wasitani wa million 10 sitakosa hata Mashine na vioo ili nifungue hata saluni ya kiume.

Mwisho kabisa, km kuna mtu anampango wa kwenda huko ani pm tupange mipango tushuke pamoja
NB:Tutakae kwenda pamoja asiwe mvuta sigara, bangi, mnywa pombe, mpenzi wa madem
Kiufupi awe ni mtu asie tumia kilevi.
Acha ubinafsi na ujinga ....Sigara, Bangi, Pombe na Umalaya hizo ni personal issues...badili namna ya kufikiri....Na hivyo vitu havimzuii mtu kufanikiwa kimaisha...Wewe ni hopeless kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom