Hayo majengo sio kigezo cha yeye kumshawishi kuhamia.
Muoneshe Botswana halisi ilivyo kama utakavyo muonesha Tandare kulivyo.
Uko sindo wanawake wanateka wanaume na kuwagegeda
Brother, ushauri wako ni mzuri, lakini ukame unapotokea sio kigezo cha watu kutokwenda, ukame hata Tanzania unaweza kutokea.View attachment 721134kabla hujaenda huko pitia taarifa za SADC uone ukame unavyo watafuna huko Botswana
Usidanganyike na magorofa huko mjini utaishia kuwa teja
Umenikaribisha kana kwamba uko BotswanaKaribu sana Botswana.
Hahaha Sasa mkuu ka kuamia mkoa mwingine umekushinda Nchi utaiwezaHata mimi sikuhizi nimeanza kua na mawazo ya kuhama nchi
Mkuu,,mwenye nchi yake alishasema,ukiama dar we sio mwanaume,dar watabaki wanaume tu,kwahyo bora niame nchi ndio sio tusiHahaha Sasa mkuu ka kuamia mkoa mwingine umekushinda Nchi utaiweza
...shubaaamit!..milioni 2 halafu 400,000 wana ngwengwe;
The capital Gaborone has more than 1,200 Zimbabwean sex workers while 300 operate in Francis town near the Plumtree border post. The resort town, Kasane, has 100 Zimbabwean sex workers and others are scattered in various urban areas in Botswana.
There are almost 4,153 commercial sex workers in the three towns. More than 70 per cent of the women cite financial gain and lack of employment as reasons for engaging in this trade.
Botswana is second after Swaziland in terms of HIV/Aids prevalence rate in Africa.
In 2012, it was estimated at least 400,000 people aged between 15 and 49 in Botswana were living with HIV/Aids.
Botswana has a population of 2 million
ww huyo mtu unayetaka kwenda naye na unamwekea vikwazo vyote hivyo ni ndoa ama?Ndugu zanguni sina mengi ya kusema, Binafsi ni mdau wa JF, nimekuwa nikisoma uzi kibao kuhusu nchi ya Botswana
Sasa kila nikitembea moyo umeja Botswana
Nina viwanja viwili, nimeamua niviuze ndani ya mwaka huu nihakikishe nahamia huko, sihitaji kuajiliwa, ntajiajili mwenyewe tu,
Najua nikiwa na wasitani wa million 10 sitakosa hata Mashine na vioo ili nifungue hata saluni ya kiume.
Mwisho kabisa, km kuna mtu anampango wa kwenda huko ani pm tupange mipango tushuke pamoja
NB:Tutakae kwenda pamoja asiwe mvuta sigara, bangi, mnywa pombe, mpenzi wa madem
Kiufupi awe ni mtu asie tumia kilevi.
Ngoja kwanza nitoe tongo tongo kwanza hapo Botswana then nitaruka tu.Mkuu upate 10 million uende Botswana nenda Nchi za Asia huko China,Singapore, Thailand hata Vietnam kuna maisha nauli hapo inatosha pamoja na visa na hela ya kujikimu maisha ya mwanzoni na utapata vitu vya kufanya huko Botswana sio nzuri kivile kama unavyosikia Sasa hivi wana ubaguzi nao na baadhi ya shughuli kupata kipato zinasumbua Wazimbabwe wapo wengi wao Watswana wanatafuta maisha kwa kaburu wengi tuu ondoa woga nenda Asia huko...
Tongo tongo unatoa kwa hiyo hela una viwanja vingine vya kuuza...Ngoja kwanza nitoe tongo tongo kwanza hapo Botswana then nitaruka tu.