Botswana imeniingia Akilini

Botswana imeniingia Akilini

Mwenzio Shibe kijijini alishakufa, shauri yako! Bakini tu hapa hapa tupamabane!!
 
kuna watoto wazuriiii
kuna ngoma hukooo weee!!nilienda kuangalia gemu ya yanga na rollers ila Gaborone ni mji mzuri hadi nilijisikia aibu na dar yangu!!
 
Hii nchi ngum sana kwa kwel, Nina MD lakin sifurahii maisha najarib nipate masters maisha yakiendelea ivi nahama nchi.
 
iMAGE.jpg


The capital Gaborone has more than 1,200 Zimbabwean sex workers while 300 operate in Francis town near the Plumtree border post. The resort town, Kasane, has 100 Zimbabwean sex workers and others are scattered in various urban areas in Botswana.

There are almost 4,153 commercial sex workers in the three towns. More than 70 per cent of the women cite financial gain and lack of employment as reasons for engaging in this trade.

Botswana is second after Swaziland in terms of HIV/Aids prevalence rate in Africa.

In 2012, it was estimated at least 400,000 people aged between 15 and 49 in Botswana were living with HIV/Aids.

Botswana has a population of 2 million


hatari sana.ukiwa na buku tu.
inaonekana unakula mzigo.
 
Ndugu zanguni sina mengi ya kusema, Binafsi ni mdau wa JF, nimekuwa nikisoma uzi kibao kuhusu nchi ya Botswana
Sasa kila nikitembea moyo umeja Botswana
Nina viwanja viwili, nimeamua niviuze ndani ya mwaka huu nihakikishe nahamia huko, sihitaji kuajiliwa, ntajiajili mwenyewe tu,

Najua nikiwa na wasitani wa million 10 sitakosa hata Mashine na vioo ili nifungue hata saluni ya kiume.

Mwisho kabisa, km kuna mtu anampango wa kwenda huko ani pm tupange mipango tushuke pamoja
NB:Tutakae kwenda pamoja asiwe mvuta sigara, bangi, mnywa pombe, mpenzi wa madem
Kiufupi awe ni mtu asie tumia kilevi.
Hata mimi sikuhizi nimeanza kua na mawazo ya kuhama nchi
mimi sihami ng'o,tatizo watanzania hampendi kujisomea na kujua mambo mengi, ni kweli Hali ni ngumu sana, Kama mnayo mitaji jifunzeni forex, Mimi kwa mtaji wa $50 tu naingiza $20 per day nyingi Sana Hizo, nyie hameni tu, tatizo mnakalili biashara, mnawaza kufungua maduka tu
 
mimi sihami ng'o,tatizo watanzania hampendi kujisomea na kujua mambo mengi, ni kweli Hali ni ngumu sana, Kama mnayo mitaji jifunzeni forex, Mimi kwa mtaji wa $50 tu naingiza $20 per day nyingi Sana Hizo, nyie hameni tu, tatizo mnakalili biashara, mnawaza kufungua maduka tu
Tupe nasi huo mchongo ndugu
 
Masharti kama unatafuta Mke!!!
Wenzio wanapanga safari wanaondoka zao, don't make the life to be complicated.....
Unaweza ukafika huko yakakufika, na Mvuta Bange, mvuta Sigara, mlevi na mpenda Mademu akakukaribisha Getoni kwake!
 
Mkuu Nakishauri kama ni kazi ya Kinyozi nenda Msumbiji. Maputo mkuu saloon za kunyoa nywele ni kama hakuna tu. Ninacho kueleza nimeshuhudia kwa macho yangu nilishindwa kipiga picha hiyo saloon niliokwenda niliogopa pengine wangenielewa vibaya. Masaa kadhaa natafuta saloon nilipokuja kuiona dah .
 
Mkuu Nakishauri kama ni kazi ya Kinyozi nenda Msumbiji. Maputo mkuu saloon za kunyoa nywele ni kama hakuna tu. Ninacho kueleza nimeshuhudia kwa macho yangu nilishindwa kipiga picha hiyo saloon niliokwenda niliogopa pengine wangenielewa vibaya. Masaa kadhaa natafuta saloon nilipokuja kuiona dah .
Msumbiji wanatumia lugha gani?
 
Nimefanya ninavyo jua nikapata RAFIKI ambae ni mwenyeji wa Botswana Ila yeye amezaliwa Burundi kaniambia hivyo!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom