Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 4,783
- 14,975
Kwa mujibu wa Kanuni hizo, bei na malipo ya bidhaa na huduma zote ndani ya nchi yanapaswa kufanyika kwa Shilingi ya Tanzania. Hivyo basi, ni kosa la kisheria kunukuu, kutangaza au kubainisha bei kwa kutumia fedha za kigeni; kulazimisha, kuwezesha au kupokea malipo kwa fedha za kigeni; au kukataa malipo yanayofanyika kwa Shilingi ya Tanzania.