Unajua kuwa wananchi wa Mkoa wa Ruvuma wana kipato kikubwa kuliko wale wa Arusha na Kilimanjaro?
Takwimu za BoT zinaonyesha wale wa Kagera ndio masikini zaidi na bado hawajafika uchumi wa kati.
Chanzo: Mwananchi online
Pia soma: Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"
View attachment 2091212