Hela hizi hizi za Tanzania shillings?Wahaya acheni ile tabia yenu tunayoifahamu ili mpate muda wa kutafuta hela.
Hela hizi hizi za Tanzania shillings?Wahaya acheni ile tabia yenu tunayoifahamu ili mpate muda wa kutafuta hela.
achana nao hao mbwembwe kibao na machino mengi.utapeli kwao lini watakuwa na maendeleo.bado akili za hao nshomili kuwa mikoa mingine hakuna akina nshomile.Kagera?!!! Kwa wahaya?
Na mbwembwe zote zile,wasomi wao,wenye hela wao,wanaoishi ulaya wao halafu ndo masikini wa mwisho
Kasoro kupigana pipeKagera kila kitu ni wa mwisho!
Nyie kwa ujivuni bana,hii takwimu ya zaidi 25% ya maprofesa uliifanya vipi,hebe tupe vigezo.Maana GDP ni pato la sehemu unagawanya kwa idadi ya raia waliopo hapo,wala hao mapurofesa wako hawachangii ktk hili.Kipimo cha GDP kinaacha vitu vingi nje ndo maana sikikubali hata. Ukienda KAGERA utakuta familia nyingi zinakula vizuri, wanavaa vizuri, watoto wanasoma vizuri na passmark zao siko juu sana, wana Furaha ya kiwango cha juu, wamejenga vizuri, zaidi ya 25% ya professors Tanzania wanatoka Kagera. So kwangu mimi mkoa wa KAGERA siyo masikini kabisa. Wahaya wengi wanafanya business za consultancy na online so pengine Siyo rahisi kuwa picked na GDP
Kusini hasa huko kwenu njombe mnaendekeza ngono ndo maana ukimwa umetamalaki hukoWewe ndio uko nyuma,wangekuwa wameendekeza ishu za ngono wangekuwa wamezaana hovyo kama huko Kagera na Kanda ya Ziwa kiujumla.