BoT: Unaporudishiwa fedha chakavu usikatae

BoT: Unaporudishiwa fedha chakavu usikatae

Naona **** fursa hapa, inabidi ichangamkiwe.

Mtu unaweza kuwa unazikusanya hizo hela chafu kwa thamani pungufu mfano, hela chafu ya 5000 wewe uipokee kwa kumpa hela safi 4000.

Then ukikusanya nyingi uende BoT ukapewe hela safi.

Nimewaza tu, wazee wa fursa kazi kwao
Mbona fursa tayari wapo walioichangamkia wananunua pesa mbovu nusu Kwa nusu ukimpa 10000 anakupa 5000.
 
MImi nlipeleka coins kama za laki 3 CRDB. kUfika pale, kale kadada kakaniambia hizi ku deposit tutakata hela kias flan.
Nliwasha moto wa tanuru.
Walivozidi kukaza nkawaambia mimi nauza barafu shuleni, nionyesheni wanafunzi wanaokuja na noti. Kwanza account ni yangu msinipangie cha kufanya.
Bladihenken wakaenda kumuita jamaa mmoja huko ndani ndani akaja akahesabu zooote na wakadeposit bila kukata.
Kwenye kila bank kuna sheria ukisoma kwenye zile pdf za makato utaona kuna sehemu coin zikiwa zaidi ya kiasi flani utakatwa asilimia flani ya hiyo hela
Ni kweli inaumiza ila kwa sasa ipo hivo
 
Kwenye kila bank kuna sheria ukisoma kwenye zile pdf za makato utaona kuna sehemu coin zikiwa zaidi ya kiasi flani utakatwa asilimia flani ya hiyo hela
Ni kweli inaumiza ila kwa sasa ipo hivo
Sasa kwanin na wao wanapotupa coin wasituongezee?
 
  • Kicheko
Reactions: Lax

Similar Discussions

Back
Top Bottom