BoT hit by another mysterious cash loss

Yaani mibilioni inakuja halafu hamna mtu wa kuichukua kwa haraka kwa sababu kesho Maulid?

Maulid watu si wanaenda kula mpunga!!!! nani aache kwenda kula mpunga na kupumzika ili aende Airport kupokea mzigo wenye thamani kubwa kwa nchi. Watu wangeweza kulipwa hata overtime kuupokwa mzigo huo. Hii inaonyesha jinsi kulivyokuwa na poor planning pale BoT.
 
Dar Es Salaam,

Kwi kwi kwi!!! Hata mimi nahisi Rostam kaiba pesa zetu. Huyu jamaa yuko kila sehemu, labda siku nyingine tuweke mabomu humo yamlipukie.

Ahaaaaa, sasa mnamsakama bila sababu! Kweli ashiriki kwenye wizi wa sh mil 34! Sidhani kama ameishiwa kiasi hicho
 
Ahaaaaa, sasa mnamsakama bila sababu! Kweli ashiriki kwenye wizi wa sh mil 34! Sidhani kama ameishiwa kiasi hicho

Hizi 34 millioni labda ni changa la macho, ukifanywa ukaguzi inaweza kuonekana pesa hizo zilikuwa ni mabilioni. Huyu Ndullu mimi simuamini kabisa maana wakati mabilioni ya EPA yanachukuliwa na mafisadi pale BoT alikuwepo kama naibu gavana na hakutoa wala mguno dhidi ya wizi ule. Hivyo anaweza kusema chochote ili kutetea kibarua kisiote majani.
 
Hizi 34 millioni labda ni changa la macho, ukifanywa ukaguzi inaweza kuonekana pesa hizo zilikuwa ni mabilioni. Huyu Ndullu mimi simuamini kabisa maana wakati mabilioni ya EPA yanachukuliwa na mafisadi pale BoT alikuwepo kama naibu gavana na hakutoa wala mguno dhidi ya wizi ule. Hivyo anaweza kusema chochote ili kutetea kibarua kisiote majani.

I agree Bubu, hawawezi kuingia gharama kubwa kusafirisha around 30,000 USD worth of money! HAaingii kichwani. Pia Interpol haiwezi kujisumbua kuanza investigation kwa kiasi kidogo hivyo. Maana gharama tu za hao wapelelzi zitazidi kiasi cha pesa kilichoibiwa.
This definitely doesn't add up....
 
2009-03-21 09:13:00

Interpol ready to trace stolen BoT cash
By Mkinga Mkinga
THE CITIZEN

Interpol has said it is ready to assist in tracing the consignment of Bank of Tanzania currency, which was stolen in transit from Germany to Dar es Salaam.

The BoT Governor, Prof Benno Ndulu, told The Citizen yesterday that Sh34 million in calibrated bills was stolen while being brought over from Germany.

"We sent the money to German for calibration but our contractor notified us that the consignment went missing en route from Germany to Dar es Salaam," said Prof Ndulu.

He said the central bank had reported the theft to the police.
A local official working with Interpol, told The Citizen that the organisation was ready to work with the Bank of Tanzania, if asked to do so.

"We cannot act before being asked by the involved party and we have not been asked by anyone to investigate this� but if we are asked we are ready to offer our support," said the source, who preferred anonymity.

Prof Ndulu refuted media reports that the stolen money was a consignment of new bank notes the BoT had contracted a German firm to print.
BoT contracted a German company to print its new Sh2,000 denomination notes, being part of a plan to replace the current notes in circulation.

The central bank announced weeks ago a decision to replace the current notes with signatures of former Finance minister Basil Mramba and former Governor Daudi Ballali.

"We have read in the local media that a consignment of new bank notes was stolen but we had no arrangement to receive any new bank notes in the near future," he said, adding that the process to print new bank notes was going on smoothly.

Speaking to The Citizen last February, the BoT chief said they had contracted a German company to print new bank notes in Sh500, Sh1,000 and Sh2,000 denominations.

He said that "current state of affairs in the country" had necessitated the decision to change the notes.The decision to change the bank notes was taken in the aftermath of the External payment Areas (EPA) scandal that saw Sh33 billion stolen from a BoT account.

But the minister for Finance and Economic Affairs, Mr Mustafa Mkulo, said the currency changes planned by the BoT had nothing to do with EPA scam.

But sources within the bank insisted that BoT had decided to change notes as part of a plan to mop up the money paid out to some businessmen through the EPA scandal.

The sources said that as the crackdown on the EPA scandal suspects intensified, some of them reportedly withdrew large amounts of their loot from their bank accounts, in a move, which had stunned the Government.

"About Sh18 billion was withdrawn from several local banks by the EPA suspects as the Government was planning to seize their assets and confiscate properties. This is a huge sum of money in circulation," a source said.

The plan to change the currency, the sources said, was also partly due to the central bank's desire to remove from the notes the signatures of two former officials implicated in various scandals.

The current notes bear the signatures of former BoT Governor Ballali, who was sacked by President Jakaya Kikwete after it was revealed by an international audit firm, Ernst & Young, that the BoT had lost Sh133 billion under his watch.

The notes also bear the signature of former Finance Minister Basil Mramba, who is facing abuse of office charges at the Kisutu Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam.

The Government last changed bank notes in 2003, when it introduced Sh500, Sh1,000, Sh2,000, Sh5000, and Sh10,000 notes.

Hawa wametumia habari ya Thisday kutafuta habari (jambo jema kabisa) lakini sasa wanataka kusema wanakanusha hiyo habari na sijui hapa wanakanusha kitu gani hasa. Hawajui Thisday walijua kila kitu na wakaacha/kupindisha kidogo ili kulinda source wao wa habari. We hushangai walijuaje kwamba zimeibiwa? Walijuaje siku. Kwanini hawakutaja kiwango kilichoibiwa? Waandishi wahabari ni vyema kushirikiana badala ya kulumbana.
 
Hiyo ni style nyingine, nadhani bado zinakuja nyingi!! Bottom line ni walewale tu, hata jambazi sugu na mjuzi asingejua hizo details za kuwasili kwa mzigo!!
 
Back
Top Bottom