BOT Hebu iangalieni DTB Bank kwa ukaribu. Kuna michezo inafanya ambayo si sahihi

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
Jamaa yangu wa karibu ameajiriwa Kampuni moja katikati ya Jiji ambayo salary yake inapitishia DTB Bank ni miezi kadhaa sasa toka ameajiriwa.Anasema hii si Bank rafiki kabisa kwa wafanya kazi.

Kwanza haitoi mikopo kwa wafanya kazi tofauti na Banks nyingine.lakini pia imekuwa mara kadhaa ikichelewa kuingiza mishahara ya wafanyakazi kwenye accounts zao.

Anasema wao toka week iliyopita kampuni yao imepeleka mishahara bank lakini mpaka hii leo hawajaingiziwa mshahara kwenye account.

Nashangaa katika ulimwengu kama huu Bank hii inawezaje ku survive? Au inawateja wake maalum inaowategemea? Maana si kwa ujeuri na kiburi hiki.

BOT nadhani pitie hizi Banks pia mziangalie maana haya mambo hayana tofauti na kikokotoo kipya kwa wafanyakazi.mfanya kazi anapaswa apokee mshahara wake kwa wakati.

Kama mwajiri katimiza jukumu lake kwa nini Bank icheleweshe? Huku pia ni kukwamishana kimaendeleo.
 
Hii bank ni kama inakaribia kufa kwa jinsi ilivyobadilila kwa huduma mbovu!
Kipindi cha nyuma kama miezi mitatu iliyopita ilikuwa inatoa mikopo kwa wafanyakazi lakini sasa ili upate mkopo ni lazima mshahara wako upitie pale!
Kwa staili hii itakimbiwa na wateja wake wengi ambao ni wafanyakazi kwani kipindi cha nyuma iliwakopesha bila hilo sharti. Kule nmb wao wapo vizuri na wanakwenda kujiimarisha sana hasa kwa kutoa mikopo kwa wafanyakazi tena bila kujali kama mshahara wako unapitia kwao! Ukiongeza na huu mkopo wao mpya wa salary advance ndio kabisa unakwenda kuizika dcb! Yabidi benki ya dcb ijitafakari juu ya hitajio lao la kusitisha mikopo hadi mishahara yetu ipitie kwao kwani hakuna atakayekubali na kwa maana hiyo watarudi tu kutubembeleza na kuondoa hilo hitajio lao.
 
Hii bank ni kama inakaribia kufa kwa jinsi ilivyobadilila kwa huduma mbovu!
Kipindi cha nyuma kama miezi mitatu iliyopita ilikuwa inatoa mikopo kwa wafanyakazi lakini sasa ili upate mkopo ni lazima mshahara wako upitie pale!
Kwa staili hii itakimbiwa na wateja wake wengi ambao ni wafanyakazi kwani kipindi cha nyuma iliwakopesha bila hilo sharti. Kule nmb wao wapo vizuri na wanakwenda kujiimarisha sana hasa kwa kutoa mikopo kwa wafanyakazi tena bila kujali kama mshahara wako unapitia kwao! Ukiongeza na huu mkopo wao mpya wa salary advance ndio kabisa unakwenda kuizika dcb! Yabidi benki ya dcb ijitafakari juu ya hitajio lao la kusitisha mikopo hadi mishahara yetu ipitie kwao kwani hakuna atakayekubali na kwa maana hiyo watarudi tu kutubembeleza na kuondoa hilo hitajio lao.
mwenzio kazungumzia dtb bank,wewe unazungumzia dcb bank.
 
Lkn nadhani kawaida km ukipewa mkopo ni lazima mshahara upitie kwao watawezaje kukubana km inapita miezi miwili ujapeleka marejesho?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kulikuwa na utaratibu wa mwajiri kukukata marejesho na kuyawasilisha benki husika kwani mwajiri ndiye mdhamini wako. Sasa wanalazimisha wateja wapitishe mishahara yao kwao jambo ambalo mwanzoni halikuwepo! Na ni ngumu kumshawishi mfanyakazi kuhamisha mshahara kutoka nmb kwenda benki ndogondogo hizi kisa tu mkopo ambao riba yake ni 17% ilihali nmb ni 18%.
 
Bank inayozungumziwa ni DTB hii haitoi mikopo kwa wafanyakazi wanaopitisha mishahara pale.

Hii bank ni kama inakaribia kufa kwa jinsi ilivyobadilila kwa huduma mbovu!
Kipindi cha nyuma kama miezi mitatu iliyopita ilikuwa inatoa mikopo kwa wafanyakazi lakini sasa ili upate mkopo ni lazima mshahara wako upitie pale!
Kwa staili hii itakimbiwa na wateja wake wengi ambao ni wafanyakazi kwani kipindi cha nyuma iliwakopesha bila hilo sharti. Kule nmb wao wapo vizuri na wanakwenda kujiimarisha sana hasa kwa kutoa mikopo kwa wafanyakazi tena bila kujali kama mshahara wako unapitia kwao! Ukiongeza na huu mkopo wao mpya wa salary advance ndio kabisa unakwenda kuizika dcb! Yabidi benki ya dcb ijitafakari juu ya hitajio lao la kusitisha mikopo hadi mishahara yetu ipitie kwao kwani hakuna atakayekubali na kwa maana hiyo watarudi tu kutubembeleza na kuondoa hilo hitajio lao.
 
Jamaa yangu wa karibu ameajiriwa Kampuni moja katikati ya Jiji ambayo salary yake inapitishia DTB Bank ni miezi kadhaa sasa toka ameajiriwa.Anasema hii si Bank rafiki kabisa kwa wafanya kazi.

Kwanza haitoi mikopo kwa wafanya kazi tofauti na Banks nyingine.lakini pia imekuwa mara kadhaa ikichelewa kuingiza mishahara ya wafanyakazi kwenye accounts zao.

Anasema wao toka week iliyopita kampuni yao imepeleka mishahara bank lakini mpaka hii leo hawajaingiziwa mshahara kwenye account.

Nashangaa katika ulimwengu kama huu Bank hii inawezaje ku survive? Au inawateja wake maalum inaowategemea? Maana si kwa ujeuri na kiburi hiki.

BOT nadhani pitie hizi Banks pia mziangalie maana haya mambo hayana tofauti na kikokotoo kipya kwa wafanyakazi.mfanya kazi anapaswa apokee mshahara wake kwa wakati.

Kama mwajiri katimiza jukumu lake kwa nini Bank icheleweshe? Huku pia ni kukwamishana kimaendeleo.
Hiv kwann wahind wao mambo yao lazma yawe na mianders kibaoo wezi sana hawa washenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom