Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,272
- 31,395
We jifanye kidume, ugonge mzingo, halafu itokee siku uje uuteme huo mzigo, ndo utaona jinsi kibarua kinavyoota nyasi
Mimi nahisi mama anataka anniconect ki intelijensia kwa binti yake?
Habari wana jf.
Ninafanya kazi ktk benki moja hapa dar,na ktk tawi letu kuna meneja ambaye ni mama mwenye binti mmoja ambaye ni mwanafunzi chuo fulani hapa jijini.Huyu binti pindi yupo chuo alikuwa na tendency yakupitia pesa ya kula hapa ofisini,na mama yake kama hayupo,kidogo mimi nilikuwa nampatia.Sasa kadiri siku zinavyokwenda,boss wangu huyu huja ofisini kwangu,nakuanza kusimulia mambo ya binti yake.Mara binti yangu vile,mara binti yangu hivi,mara binti yangu anatabia njema,mara binti yangu.....eeeenh!!!yaaani maneno kedekede.Imekuwa ni tabia sasa,kila siku ofisini lazima anieleze habari za binti yake.Mimi naona kama vile anamnadi kwangu,ila bado sijamsoma vizuri kwanini anafanya hvyo.Au kwa vile nilishamtonya kwamba mimi ni bachela na sina mwanamke wa aina yoyote.?Mimi nahisi mama anataka anniconect ki intelijensia kwa binti yake?provided that huyu binti namchukulia kama dada yangu tu,na sijawahi kudate nae.Ebu nijuzeni wataalam wa mambo haya,kuna nini kinaendelea hapa?
sUbiRi waKulimiT vIzuRi Hapo KuaNzIa nYumBaNi haDi KaZini.. nA viLe boSs aNakaJua kaMsHahAra kaKo uTanYooka tu.. hApaNa kuPiGa cHeNga... aNyWay kUbaLi tU bOss AtaKuPanDisHa cHeo na vIjeMbe vIanZe haPo kAzIni.... KuFaNya Kazi Na mAma MkwE yaTaKa mOyO... mAhuSiaNo na JamAa zAkO hApO job laZma yAbaDiliKe tU....!!!! kUoneAnA aIbu kWinGi na HisiA nyiNgi kWa kiLa utAloFanyA lItakoNecTiwa KwenYe ukWe na UKamwanA... cHa msInGi WacHuKuliE kAtiKa mAhusiAnO yA kaWaiDa na uHakikiShe na wAo waNaTamBua iVo... hiZi NdoA uWe mbAli nA mAmkwe au baMkwe uTakuA hUru... KaMa binti uMeMpenDa fAnYa mChakatO Then UhaMie tAwi jInGine aU mKoani kAmA mTaKua kAtiKa nDoa.
Habari wana jf.
Ninafanya kazi ktk benki moja hapa dar,na ktk tawi letu kuna meneja ambaye ni mama mwenye binti mmoja ambaye ni mwanafunzi chuo fulani hapa jijini.Huyu binti pindi yupo chuo alikuwa na tendency yakupitia pesa ya kula hapa ofisini,na mama yake kama hayupo,kidogo mimi nilikuwa nampatia.Sasa kadiri siku zinavyokwenda,boss wangu huyu huja ofisini kwangu,nakuanza kusimulia mambo ya binti yake.Mara binti yangu vile,mara binti yangu hivi,mara binti yangu anatabia njema,mara binti yangu.....eeeenh!!!yaaani maneno kedekede.Imekuwa ni tabia sasa,kila siku ofisini lazima anieleze habari za binti yake.Mimi naona kama vile anamnadi kwangu,ila bado sijamsoma vizuri kwanini anafanya hvyo.Au kwa vile nilishamtonya kwamba mimi ni bachela na sina mwanamke wa aina yoyote.?Mimi nahisi mama anataka anniconect ki intelijensia kwa binti yake?provided that huyu binti namchukulia kama dada yangu tu,na sijawahi kudate nae.Ebu nijuzeni wataalam wa mambo haya,kuna nini kinaendelea hapa?
!
!
umeuliza swali kama wanaloulizwaga kanisani...umekubali kumuoa au kuolewa na huyu?
we watu wametoka huko na wamechangishana na suti wamenunua halafu unawauliza kama wako tayari kuoana
Hahaha ajipe mwenyewe...asitafute wa kumlaumu badaeHuelewi nini sasa na umeelezea mkasa mzima? Unataka tukupe 'Go ahead?'
Jipe mwenyewe.