Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Usisite nijulisha hiyo ni uhakika.
 
aah buana, mbona bado sana, nakushauri tu, usimfatilie, usitume msg, usimpigie, usimshobokee, usimuulize kitu. Kaa kwa kutulia kama siyo wewe, km kweli anahisia na ww hata kiduchu lazima atakutafuta. Pole

Asante ntafanya ivo
 
Sasa kama uliona kunguni wamevaa buti za mvua kwanini wewe ulimshika mtoto wa jogoo ukampeleka shuleni? Unafikiri ndege walishindwa kuvaa mewani na suti nyeusi wakafungua ofisi ya kuuza mswaki? Ndo maana samaki wameamua kutafuta passport ili wasikamatwe kwenye mipaka
 
Ulitumwa umpe uterezi sasa unatumia Wana jamii tukushauri nini endelea kukaza boot Aya ndio matokeo ya uterezi single boy upwiru unakaba maokoto yanapotea tu
 
harlot at work.
 
Tayari umeshaliwa kimasihara tusubiri bosi alete stori kule kwenye uzi pendwa. Umeshafanya kosa achana nae tu endelea na maisha yako kama mfanyakazi.
 
Ni ofisi gani hiyo inayoongozwa na popoma lisilozingatia maswala ya safeguarding? Ki maadili ni kosa kubwa sana kwa boss kugegeda subordinate wake. Kazi hazitaenda, wote nyie mnastahili kufukuzwa kazi!
 
Nani alikuambia tunatembeaga na maBoss? Msingi wa mahusiano yenu huwa ninini na mnapanga mahusiano yaende wapi?

Mahusiano ambayo binafsi siwezi yaanzisha hata iweje: Boss, mteja, jirani, shemeji, co-worker na watu wote wa karibu yangu. Enzi niko shule hata classmates nilikuwa siwezi.

Watu wako wengi sana wakuanzisha mahusiano nao ila sio hao hapo juu.
 
aah buana, mbona bado sana, nakushauri tu, usimfatilie, usitume msg, usimpigie, usimshobokee, usimuulize kitu. Kaa kwa kutulia kama siyo wewe, km kweli anahisia na ww hata kiduchu lazima atakutafuta. Pole
Usimdanganye mwenzio. Akimchuni iwe jamaa anampenda au hampendi ni lazima amtafute tuu maana huyu ndo anatoa utelezi hivyo hawezi acha kumcheki.
Hilo la kumchunia ni sawa ila asimchunie kwa kigezo kua kama anampenda basi atamtafuta, keep it in mind kua piga ua jamaa lazima atamtafuta tuu.
 
Mnaanzaje kulala na maboss zenu ofisini ...?!!
ameliwa kizembe sana,kwanza naanzaje kumix mapenzi nakazi? ofisini mkurugenzi ananitaka, mhasbu ananitaka, ukimuomba driver akudrop sehem anatongoza, yan kila idara hapakosekani wa kuniimbisha sasa kama nina akili kama za huyu s nakua jamvi la wageni?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…