Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Katika kutafuta huduma za jamii, baada ya nenda huku nenda kule nyingi, nilipewa barua inayihitaji mhuri na sahihi ya boss ili kumaliza mjadala.
Boss huyu anapatikana wizara flani, nika tinga. Secretary wa boss ni mtoto wa shost, basi kuniona tu aliniambia aunt Sky wewe nenda tu ofisini kwake, nilishamueleza jamaa utakuja.
Nimefika kwenye mlango wa ofisi, nikagonga, kimya basi nikajarubu ule mlango ulikuwa wazi, kuingia ndani nilikuta boss ametoka kupumua na ametoa hewa chafu.
Chumba kilikuwa na hali mbaya, kwa aibu hakutaka majadiliano slimwaga sahihi na mhuri na kuniacha nitoke.
Secretary hapa hakuwa na maadili, alioaaqa kupiga simu na kumtaarifu boss kuwa mgeni amefika. Kabla hamjapumya ma boss pia angalieni mazingira.
Boss huyu anapatikana wizara flani, nika tinga. Secretary wa boss ni mtoto wa shost, basi kuniona tu aliniambia aunt Sky wewe nenda tu ofisini kwake, nilishamueleza jamaa utakuja.
Nimefika kwenye mlango wa ofisi, nikagonga, kimya basi nikajarubu ule mlango ulikuwa wazi, kuingia ndani nilikuta boss ametoka kupumua na ametoa hewa chafu.
Chumba kilikuwa na hali mbaya, kwa aibu hakutaka majadiliano slimwaga sahihi na mhuri na kuniacha nitoke.
Secretary hapa hakuwa na maadili, alioaaqa kupiga simu na kumtaarifu boss kuwa mgeni amefika. Kabla hamjapumya ma boss pia angalieni mazingira.