Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama utendaje wake ulikuwa ni mzuri, nitamchukua, uzoefu unaonyesha Boss anayeonekana kuwa mnoko kwa watu walio chini yake mara nyingi anakuwa muhimu kwa Kampuni au shirika. Kwa difinition yangu mnoko ni mtu ambaye hataki taratibu zilizowekwa zikiukwe. Sasa ni boss gani mzuri apendaye taratibu zikiukwe?Hebu chukulia kwamba mtu aliyekunyanyasa mpaka ukaamua kuacha kazi wakati akiwa Bosi mahali fulani, umekutana naye hivi sasa akiwa anatafuta kazi mahali ambapo wewe ni Bosi na ukiwa na maamuzi ya mwisho. Hebu niambie kama ni wewe ungefanya nini?
Kama utendaje wake ulikuwa ni mzuri, nitamchukua, uzoefu unaonyesha Boss anayeonekana kuwa mnoko kwa watu walio chini yake mara nyingi anakuwa muhimu kwa Kampuni au shirika. Kwa difinition yangu mnoko ni mtu ambaye hataki taratibu zilizowekwa zikiukwe. Sasa ni boss gani mzuri apendaye taratibu zikiukwe?
Mtu anayejua kazi yake na taratibu zoote anafuata hanyanyasiki utamuanzia wapi? Hebu jiulize upo ofisini unafanya kazi zako vizuri na unafuata taratibu zoote mbona ni kazi sana boss wako kukunyanyasa? na kama atafanya hivyo it means hayupo sawa kiakili, na hajui nini anatakiwa kukifanya. Na mtu wa namna hiyo hakuna haja hata ya sisi kumjadiri hapa, kwasababu jibu ni kwamba hafai inatakiwa ufanye maamuzi ya kutokumuajiri basi, au unataka uende mbali zaidi na kumpaka?Mtu anayependa taratibu za kazi zifuatwe hanyanyasi watu..............................
unalipiza kila kitu,,,, mpaka na yeye aamue kuacha kazi kama wewe ulivyofanyaunamuajiri so fast upate nafasi ya kumu enjoy hivi
Mkuu mbona hauleweki,ebu weka wazi mara ulifukuzwa chuoni mara mkuu aliosababishwa ufukuzwe kazi,vipi tena funguka la moyoni::
Mkuu mbona hauleweki,ebu weka wazi mara ulifukuzwa chuoni mara mkuu aliosababishwa ufukuzwe kazi,vipi tena funguka la moyoni::