Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 58,636
- 220,405
- Thread starter
- #41
hii imenikumbusha jamaa mmoja alikuwa banker nmb home huko.
kapata mdada mmoja bhana si akampiga limbwata!! dozi ilikolezwa mpaka jamaa akadata, akiingia kazini kwenye slip za wateja anaandika jina la yule mwanamke mwanzo mwisho.
maza akambana yule dada akakiri kufanya ulozi kwa jamaa na kazini akawa katolewa.
mpaka leo wanaishi kwa shida tu. inatia huruma sana
Inasikitisha sana, lakini kwa hii issue ninaamini ni neurology problem. Cha ajabu ni akili ya binadamu ikikosea step do.