Bosi anamkosesha raha

Bosi anamkosesha raha

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,405
Shost ameolewa na watoto wanne, anafanya kazi katika mradi wa mmoja wa jamii mjini. Story iko hivi yeye ni among seniors kwenye mradi, head wake ni professor lakini yule baba amepata mental health issues.

Kazi hawezi kufanya tena, haongei na mtu, haongei hata neno moja, yeye hukaa na kalamu na daftari, sasa kuna anayoandika kwenye daftari kutwa nzima akikaa. Madaktari wanaomtibu walitaka wajue anaandikaga nini. Cha ajabu huwa anarudia kuandika jina la shost tena la kimila ambalo hata mume wake halifahamu.

Hali hii inamkosesha shost raha sana, ananiambia walizoeana kama colleagues, na lile jina aliliona kwenye document za shost kiofisi. Jamani yaani huyu baba ndiyo amelishika hilo jina.
 
Nin
Shost ameolewa na watoto wanne, anafanya kazi katika mradi wa mmoja wa jamii mjini. Story iko hivi yeye ni among seniors kwenye mradi, head wake ni professor lakini yule baba amepata mental health issues.

Kazi hawezi kufanya tena, haongei na mtu, haongei hata neno moja, yeye hukaa na kalamu na daftari, sasa kuna anayoandika kwenye daftari kutwa nzima akikaa. Madaktari wanaomtibu walitaka wajue anaandikaga nini. Cha ajabu huwa anarudia kuandika jina la shost tena la kimila ambalo hata mume wake halifahamu.

Hali hii inamkosesha shost raha sana, ananiambia walizoeana kama colleagues, na lile jina aliliona kwenye document za shost kiofisi. Jamani yaani huyu baba ndiyo amelishika hilo jina.
Nini hiki mbona sielewi??
 
Duuu hapo lazima atakuwa anahusika na mental illness ya jamaa

Kimbembe madaktari wanaomtibu wanataka awaeleze zaidi uhusiano wao, shosti ana familia na mpaka sasa hivi mume wake haelewi.
 
labda wa mwisho kukutana nae kabla hajapata huo ugonjwa alikuwa shosti yako imebaki kwenye memory card yake hapo shosti analo tena jina la nyumbani eeeehhh marefu hapo

Ni hali ngumu fikiria na mke wa professor atakuwa anafikiria nini sasa? Lakini wamefocuss kuuguza.
 
huyo shost kuwa na family sio solution atakuw anahusika na ugonjwa wa huyO bos si zaid ya mapenz ata kipapai kw wivu wa vyeo kazn n.k
 
shosti ako hajakudokeza kama alimaliza kale kamchezo faragha....maana mmmhh au walikuwa karibu sana hapo kwa office

Shost ni msoma masomo J2. Atatuchanganya, yaani hii ni kali kuliko.
 
huyo shost kuwa na family sio solution atakuw anahusika na ugonjwa wa huyO bos si zaid ya mapenz ata kipapai kw wivu wa vyeo kazn n.k

Ni Mkatoliki wa hali ya juu sasa vyote viwili siwezi kukupa jibu.
 
Mmmmm mbaya hiyo,boss wangu alikosea kumuita jina mkewe akamuita jina langu kimakosa mbona mke alikuja kunitafuta
kazini eti nimweleze why mumewe kaniita jina langu,alinitukana mpaka alipo maliza akaondoka,sikumjibu manake mumewe nilikua namuheshimu sana na pia nilikua nakwenda kusoma sasa sikutaka kisirani cha kitu kizima, so mwambie shosti wako wala asijitie BP hutokea...
 
Mmmmm mbaya hiyo,boss wangu alikosea kumuita jina mkewe akamuita jina langu kimakosa mbona mke alikuja kunitafuta
kazini eti nimweleze why mumewe kaniita jina langu,alinitukana mpaka alipo maliza akaondoka,sikumjibu manake mumewe nilikua namuheshimu sana na pia nilikua nakwenda kusoma sasa sikutaka kisirani cha kitu kizima, so mwambie shosti wako wala asijitie BP hutokea...

Hongera Una hekima
 
Shost ni msoma masomo J2. Atatuchanganya, yaani hii ni kali kuliko.
Mpe tahadhari asijaribu kwenda kutafuta solution kwa kina MANYAUNYAU,KAMCHAPE,KALUMANZIRA NA KINA BABU WENGINE WASHIRIKINA sababu itakula NGUONI KWAKE,HALAFU ASALI YOOOTE KWISHNEY.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom