jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 5,344
- 7,103
Tupo na jezi tunazoHii timu kumbe inamshabiki tanzania kweli vituko haviishi 🤣🤣🤣🤣
Tupo na jezi tunazoHii timu kumbe inamshabiki tanzania kweli vituko haviishi 🤣🤣🤣🤣
Aisee hii kali🤣🤣🤣🤣Mashabiki tupo
Man city sikatai ni maarufu tanzania ila hizo nyingine ina mashabiki kutokana na kutikisa soka la uingereza ila hizo nyingine waigizaji tu sio die fanUsishangae humu kuna threads za SPURS,BRIGHTON,ATLETICO,JUVENTUS,AC MILAN,BAYERN,MAN CITY
Sasa bayern,juventus,ac milan wametikisa soka la ulaya alaf unasema mashabik wa kuigiza alaf wa tottenham wawe wa kwelMan city sikatai ni maarufu tanzania ila hizo nyingine ina mashabiki kutokana na kutikisa soka la uingereza ila hizo nyingine waigizaji tu sio die fan
Hizi ulizotaja hamna shabiki die fan nimekuambia man city sio hizi wengi waigizaji tu wa kuvaa jezi kutokana na uzuri wa jezi ya timu husikaSasa bayern,juventus,ac milan wametikisa soka la ulaya alaf unasema mashabik wa kuigiza alaf wa tottenham wawe wa kwel