Born 2000's kids mwaka huu 2024 watafunga miaka 24 rasmi

Zemanda

JF-Expert Member
Jan 10, 2021
5,707
11,957
Aisee muda unakwenda kwa kasi ila mambo au maisha yanakwenda taratibu nadhani sijui kwa wengine. Imagine madogo waliozaliwa mwaka 2000 huu mwaka watasheherekea birthday ya kutimiza miaka 24.

Huu ndio umri wa mtoto wa kike kuwa au kuanza familia na mwanaume wa ndoto zake.

Huwa nacheka sana nikiwaza kuwa kuna binti kazaliwa kuanzia 1997,1996,1995 kurudi nyuma akiyaongelea mahusiano kwa sura ya future tense kuwa ninatafuta mwanaume wa ndoto zangu au nataka mwanaume wangu awe moja mbili tatu.

Aisee kweli cheza na pesa zikitoweka utatafuta zingine ila sio muda aisee muda ukishakwenda haurejei tena kamwe hata ufanyaje. Na mbaya zaidi ni vile vitu ambavyo muda ukishakwenda hautaweza kujifanya tena ndio itakuuma zaidi na kukuacha na depression.

Najua wanaume hii kitu haitawaumiza sana. Kuna bro wangu m'moja alivurugwa na mahusiano hadi akawa kama ameshakata fuse kichwani akaenda kukaa mkoani miaka kama 6 hivi, alikuja akarudi na kuanza upya alichangiwa mtaji akaanza kufuga kuku kwenye mabanda ya shangazi.

Akakimbiza kimbiza baadae akaona miyeyusho akaenda kusoma sijui kozi gani fupi nikaona tu anaenda sana bandari. Akapata kazi huko ya operation manager kwenye kampuni hapo bandari na kuanza maisha upya. Amechukua binti mdogo tu ila ukimuona unaona wanaringana, wameanza life na mwaka huu wanataraji kupokea mtoto wao wa 4.

Huwa nawaza sana upande wa dada zetu wazee wa standards. Gape la umri kwenda huwa linawapa mrejesho mbaya sana.

Kwasas kuna idadi ya wadada wengi toleo la kuanzia 1980 hadi late 1990's ambao kwasababu zao binafsi na visingizio kadha wa kadha wamefeli kufanya kitu kinachoitwa ndoa na kuanza maisha ya ubachelorette forever.

Time is woman's worst enemy sababu it rarely gives them a second chance in life. Time is Men best friend, it gives them a million chances to create similar moments in life.

Use your time wisely ladies born from 2000's.

And kwa wale wadada born before 2000 MUNGU awe nanyi, let the games begin. Kama ulitumia Prime years zako kucheza na wanaume na kupuyanga its time to pay your dues, ila kama ulikuwa na bahati mbaya zako MUNGU akuangazie uweze kupata mwanya wa kuendelea na maisha yako.
 
Wako kasi sana wadada wa 2000, na mitandaoni huko ndo kabisa wanakimbiza sana hasa TikTok na Snapchat wana ujinga mwingi mno!

0c7accc2553647d4893ed2958c8430f1.jpg
 
Men hatuathiriwi sana na umri..ila tunaathiriwa na mipango . Maendeleo. Binafsi nakumbuka kauli moja baba aliwahi nambia wakati nipo form two sikumwelewa ..nilikuwa na dada yangu mtoto wa mama mkubwa anahitaji BINTI wa kazi, mzee akaniambia mtafutie dada Yako bint mzuri akalelewe huko uje umwoe,,aliniambia kama utani tu ..halafu akanambia ukiweza hata unampa ujauzito ukimaliza form four ..sikutilia maanani ila mzee alitaka nizae yaan npate mtoto ikiwezekana nioe kabisa mapema. Asee kipindi hicho nilikuwa na UWEZO wa kumbebesha bint uzito.. Leo ikiwa imepita miaka 17 ndo NAWAZA hapa kama ningefanya makeke ningekuwa na BINTI au kijana wa miaka 17 au 15.. Cha ajabu Nina watoto 2 mmoja four years mwingine two years.. siwez hata kuvituma.umri nao ndo hivyo tena ..japo niliona Nina early 30s. Maisha yanaenda kas sana mke wangu nilimkuta ana 23 Leo hii eti naaproach 30.. yaan ni balaaaa! Vitoto vya 2004 vina 20, vitoto vya 2006... Vinaenda university mwaka huu.. vitoto vya 2000 wakati Mimi najua mwisho wa Dunia ni 2000 Leo hii vipo kazini serikalini kabisa ... Ajabu sana .. mtoto wa 2010 Leo ana 14.. na ni demu au Tyr kama ni kavulana Tyr kana nywele sehemu za Siri... Kengine kanakojolea wenzake...mmoja ameanza form 1 mwaka huu ana mimba Tyr ..karudishwa nyumbani, mwingine ana 17.. ila ana mtoto wa miaka miwili ..aaaahhaahhahaha
 
Aisee muda unakwenda kwa kasi ila mambo au maisha yanakwenda taratibu nadhani sijui kwa wengine. Imagine madogo waliozaliwa mwaka 2000 huu mwaka watasheherekea birthday ya kutimiza miaka 24.

Huu ndio umri wa mtoto wa kike kuwa au kuanza familia na mwanaume wa ndoto zake.

Huwa nacheka sana nikiwaza kuwa kuna binti kazaliwa kuanzia 1997,1996,1995 kurudi nyuma akiyaongelea mahusiano kwa sura ya future tense kuwa ninatafuta mwanaume wa ndoto zangu au nataka mwanaume wangu awe moja mbili tatu.

Aisee kweli cheza na pesa zikitoweka utatafuta zingine ila sio muda aisee muda ukishakwenda haurejei tena kamwe hata ufanyaje. Na mbaya zaidi ni vile vitu ambavyo muda ukishakwenda hautaweza kujifanya tena ndio itakuuma zaidi na kukuacha na depression.

Najua wanaume hii kitu haitawaumiza sana. Kuna bro wangu m'moja alivurugwa na mahusiano hadi akawa kama ameshakata fuse kichwani akaenda kukaa mkoani miaka kama 6 hivi, alikuja akarudi na kuanza upya alichangiwa mtaji akaanza kufuga kuku kwenye mabanda ya shangazi.

Akakimbiza kimbiza baadae akaona miyeyusho akaenda kusoma sijui kozi gani fupi nikaona tu anaenda sana bandari. Akapata kazi huko ya operation manager kwenye kampuni hapo bandari na kuanza maisha upya. Amechukua binti mdogo tu ila ukimuona unaona wanaringana, wameanza life na mwaka huu wanataraji kupokea mtoto wao wa 4.

Huwa nawaza sana upande wa dada zetu wazee wa standards. Gape la umri kwenda huwa linawapa mrejesho mbaya sana.

Kwasas kuna idadi ya wadada wengi toleo la kuanzia 1980 hadi late 1990's ambao kwasababu zao binafsi na visingizio kadha wa kadha wamefeli kufanya kitu kinachoitwa ndoa na kuanza maisha ya ubachelorette forever.

Time is woman's worst enemy sababu it rarely gives them a second chance in life. Time is Men best friend, it gives them a million chances to create similar moments in life.

Use your time wisely ladies born from 2000's.

And kwa wale wadada born before 2000 MUNGU awe nanyi, let the games begin. Kama ulitumia Prime years zako kucheza na wanaume na kupuyanga its time to pay your dues, ila kama ulikuwa na bahati mbaya zako MUNGU akuangazie uweze kupata mwanya wa kuendelea na maisha yako.
Mwenyezi Mungu askie na kuwatimizia haja njema za mioyo yao maishani.

kuna kabinti kanadai kana 30yrz for sure kakofrustrated mno, na kamekua stressed zaidi kalipoona rafiki zake wote wameolewa na wanawatoto na maisha yanasonga vizuri 🐒

kamefikia hatua sasa badala ya kuomba ruhusa kwa supervisor na maybe meneja wake kanapoenda makanisa mbalimbali kuombewa kapate mume, sasa anakuja kwa CEO kabisa kuomba ruhusa kitu ambacho sio sahihi.

Hali hiyo ya binti imefanya CEO kutoa agizo la kwamba binti huyu awe chini ya uangalizi maalumu, angalau mpaka kwa Neema na Baraka za Mungu atakapofanikiwa.

Nyie vijana wapendwa sana wa 2000s, msichague sana wakuwaoa au kuolewa nao, msiweke vigezo visivyowezekana, mtajuta na kuzeekea nyumbani na mtaani...🐒
 
Men hatuathiriwi sana na umri..ila tunaathiriwa na mipango . Maendeleo. Binafsi nakumbuka kauli moja baba aliwahi nambia wakati nipo form two sikumwelewa ..nilikuwa na dada yangu mtoto wa mama mkubwa anahitaji BINTI wa kazi, mzee akaniambia mtafutie dada Yako bint mzuri akalelewe huko uje umwoe,,aliniambia kama utani tu ..halafu akanambia ukiweza hata unampa ujauzito ukimaliza form four ..sikutilia maanani ila mzee alitaka nizae yaan npate mtoto ikiwezekana nioe kabisa mapema. Asee kipindi hicho nilikuwa na UWEZO wa kumbebesha bint uzito.. Leo ikiwa imepita miaka 17 ndo NAWAZA hapa kama ningefanya makeke ningekuwa na BINTI au kijana wa miaka 17 au 15.. Cha ajabu Nina watoto 2 mmoja four years mwingine two years.. siwez hata kuvituma.umri nao ndo hivyo tena ..japo niliona Nina early 30s. Maisha yanaenda kas sana mke wangu nilimkuta ana 23 Leo hii eti naaproach 30.. yaan ni balaaaa! Vitoto vya 2004 vina 20, vitoto vya 2006... Vinaenda university mwaka huu.. vitoto vya 2000 wakati Mimi najua mwisho wa Dunia ni 2000 Leo hii vipo kazini serikalini kabisa ... Ajabu sana .. mtoto wa 2010 Leo ana 14.. na ni demu au Tyr kama ni kavulana Tyr kana nywele sehemu za Siri... Kengine kanakojolea wenzake...mmoja ameanza form 1 mwaka huu ana mimba Tyr ..karudishwa nyumbani, mwingine ana 17.. ila ana mtoto wa miaka miwili ..aaaahhaahhahaha
muda sio rafiki kwa wanawake
 
Men hatuathiriwi sana na umri..ila tunaathiriwa na mipango . Maendeleo. Binafsi nakumbuka kauli moja baba aliwahi nambia wakati nipo form two sikumwelewa ..nilikuwa na dada yangu mtoto wa mama mkubwa anahitaji BINTI wa kazi, mzee akaniambia mtafutie dada Yako bint mzuri akalelewe huko uje umwoe,,aliniambia kama utani tu ..halafu akanambia ukiweza hata unampa ujauzito ukimaliza form four ..sikutilia maanani ila mzee alitaka nizae yaan npate mtoto ikiwezekana nioe kabisa mapema. Asee kipindi hicho nilikuwa na UWEZO wa kumbebesha bint uzito.. Leo ikiwa imepita miaka 17 ndo NAWAZA hapa kama ningefanya makeke ningekuwa na BINTI au kijana wa miaka 17 au 15.. Cha ajabu Nina watoto 2 mmoja four years mwingine two years.. siwez hata kuvituma.umri nao ndo hivyo tena ..japo niliona Nina early 30s. Maisha yanaenda kas sana mke wangu nilimkuta ana 23 Leo hii eti naaproach 30.. yaan ni balaaaa! Vitoto vya 2004 vina 20, vitoto vya 2006... Vinaenda university mwaka huu.. vitoto vya 2000 wakati Mimi najua mwisho wa Dunia ni 2000 Leo hii vipo kazini serikalini kabisa ... Ajabu sana .. mtoto wa 2010 Leo ana 14.. na ni demu au Tyr kama ni kavulana Tyr kana nywele sehemu za Siri... Kengine kanakojolea wenzake...mmoja ameanza form 1 mwaka huu ana mimba Tyr ..karudishwa nyumbani, mwingine ana 17.. ila ana mtoto wa miaka miwili ..aaaahhaahhahaha
Umeongea vitu vingi vya msingi sana. Sema ndio hivyo wachache tuna akil za kukuelewa
 
Back
Top Bottom