Boris Johnson akashifu wanawake wavaa hijab

Boris Johnson akashifu wanawake wavaa hijab

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,353
Aliyekuwa waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uingereza bwana Boris Johnson yuko kwenye mgogoro na chama chake cha Conservative kufuatia ujumbe wake kwenye gazeti kuhusu wanawake wavaa hijabu na baibui.
Mjadala wa kamati ya maadili ya Conservative unafikiria kumwajibisha bwana Johnson kwa kumtaka kuomba msamaha hadharani. Hata hivyo wanawake wavaa hijab wamepinga adhabu ya bwana Johnson kuomba msamaha hadharani wakidai kuwa adhabu hiyo ni ndogo sana. Wanawake hao wameweka shinikizo bwana Johnson avuliwe uwanachama.

Wengi wanasema kumvua bwana Johnson uwanachama kutaleta mgawanyiko mkubwa katika chama. Bwana Johnson ni chaguo la wengi ndani ya chama kuwa mrith wa Theresa May ambae ni waziri mkuu wa sasa.
Maneno aliyoandika bwana Johnson yaliyomletea matatizo ni kuwa wanawake wavaa hijab hufanana na masanduku ya kupostia barua au wezi wa benki “.
 
amesemaje na wewe Eclat, toa habari kamili, usiwe kama waandishi semi-literate wa media zetu
 
Amesema wakishavaa hijab wana kuwa kama masanduku ya kuoistua barua au wezi wa benki


okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Na hii ni kwa sababu Waingereza hawakubaiani wote kwamba hijab ni njema, na vibaya kuikosoa, la hasha, wapo wanaomtetea Boris Johnson.

tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.

hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka

in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam period.

kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni moja kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...

facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...

Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
 
okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, inapendeza, wapo wanaomtetea Boris Johnson.

Utamaduni wa Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, kwa hiyo tusilazimishe matamaduni ya kigeni kwa wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.

hakuna mahala Quran Takatifu takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka

in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam....

kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...

facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...

Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
Sidhani kama Johnson alikuwa na nia ya kukashif uvaaji huu. Nia yake ilikuwa kuweka msisizo kwa kile alichoandika gazetini.
Mke wa Boris ni Mhindi sidhani kama ana matatizo na multicultutal society.
Hatahivyo wanawake wavaa hijabu wamesema ni uamuzi wao kuvaa hivyo na uamuzi wao uheshimiwe.
 
okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, wapo wanaomtetea Boris Johnson.

tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.

hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka

in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam.

kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...

facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...

Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
Kwa Sheria za wenzetu wanaojitambua, kaingilia Uhuru na Imani ya watu, wanamuwajibisha, unasemaje mkuu!!!? Kwa wenzetu kuomba samahani hadharani wanakuwa wamekurudisha hatua 100 nyuma kisiasa, unawekwa kundi la "Waropokaji"
 
Kwa Sheria za wenzetu wanaojitambua, kaingilia Uhuru na Imani ya watu, wanamuwajibisha, unasemaje mkuu!!!?

Imani gani, ya kipagani?

Quran Takatifu haijasema popote wanawake wavae hijab, niqab wala burka

In fact, Quran Takatifu haijasema lolote kuhusu uvaaji wa muislam wa namna yeyote.

Unaweza kuvaa ki-mini na ukawa hujavunja matakwa ya Quran Takatifu.

Kwa hiyo let us not conflate imani na utamaduni

Utamaduni wa Muingereza haukubaliani na kumfunika mwanamke gubigubi. Kwa wao, burka wanaliona kwa waporaji mabenki.
 
Sidhani kama Johnson alikuwa na nia ya kukashif uvaaji huu. Nia yake ilikuwa kuweka msisizo

but you said as much.

kichwa cha thread "Johnson akashifu wanawake wavaa hijab"

kumbe umepotosha umma.

hakuna popote pengine kuna taarifa hiyo

ilikuwa ni tafsiri na mawazo yako wewe ambayo kumbe huyaamini tena, sasa futa kauli yako na omba msamaha
 
Imani gani, ya kipagani?

Quran Takatifu haijasema popote wanawake wavae hijab, niqab wala burka

In fact, Quran Takatifu haijasema lolote kuhusu mavai ya muislam period!

Unaweza kuvaa ki-mini na ukawa hujavunja matakwa ya Quran Takatifu.

Kwa hiyo let us not conflate imani na utamaduni

Utamaduni wa Muingereza haukubaliani na kumfunika mwanamke gubigubi. Kwa wao, burka wanaliona kwa waporaji mabenki.
Kwa muda mrefu sana Waingereza wamejaribu kujenga jumuia ya watu kuishi bila kubughudhi jadi na imani ya mtu. Hii ni pamoja na menu za mashuleni, hospitali na bungeni kujumuisha vyakula vya Caribbean, curry ya Wahindi na vyakula vyao Waingereza kama shepherds pie, fish and chips etc.
Kumekuwa na malipo mengi ya fidia za ukiukwaji wa imani. Ninakumbuka kesi moja baba mmoja alipata ajali akakatwa mguu. Familia ilidai nguu wa Baba yao wauifadhi ili azikwe nao mauti yakimfika. Hospitali wakidhindwa kuwapa mguu ule na ilibidi wakipwe fidia.
Kuheshimu imani za wengine kunaleta umoja wenye nguvu. Mfano tu Christmas wazungu wanaithamini sana. Madaktari Waislamu hufanya kazi Christmas kwao si tatizo wakati wa Kristo wakisherehekea.
 
Imani gani, ya kipagani?

Quran Takatifu haijasema popote wanawake wavae hijab, niqab wala burka

In fact, Quran Takatifu haijasema lolote kuhusu mavai ya muislam period!

Unaweza kuvaa ki-mini na ukawa hujavunja matakwa ya Quran Takatifu.

Kwa hiyo let us not conflate imani na utamaduni

Utamaduni wa Muingereza haukubaliani na kumfunika mwanamke gubigubi. Kwa wao, burka wanaliona kwa waporaji mabenki.
Imani ya mtu Ni Imani, iwe ya kipagani iwe ya Nini, Ni Imani....sidhani Kama wewe unaijua vizuri uingereza kuliko consevertive wenyewe wanaotaka kumwajibisha kwa kukiuka misingi na miongozo yao ya Uhuru na haki ya kila raia wa nchi hiyo inayowaongoza.....sio kila ustaarabu lazima uandikwe vitabuni, Kama ulivyo utawala wa kifalme wa uingereza hauko vitabuni....lakini Ni ustaarabu wao waingereza kuutukuza utawala huo Karne na karne.....kakiuka misingi na utamaduni wa Mwingereza, "Kuheshimu Uhuru wa mwingine"lazima awajibike, Sasa wewe unayetaka kuliona Hilo andiko la hijabu kitabuni endelea kulitafuta.....
 
okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, wapo wanaomtetea Boris Johnson.

tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.

hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka

in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam period.

kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...

facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...

Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
duh! kumbe..
 
but you said as much.

kichwa cha thread "Johnson akashifu wanawake wavaa hijab"

kumbe umepotosha umma.

hakuna popote pengine kuna taarifa hiyo

ilikuwa ni tafsiri na mawazo yako wewe ambayo kumbe huyaamini tena, sasa futa kauli yako na omba msamaha
Sasa kama si kashfa kwanini anatakiwa aombe msamaha hadharani?
 
Kwa muda mrefu sana Waingereza wamejaribu kujenga jumuia ya watu kuishi bila kubughudhi jadi na imani ya mtu. Hii ni pamoja na menu za mashuleni, hospitali na bungeni kujumuisha vyakula vya Caribbean, curry ya Wahindi na vyakula vyao Waingereza kama shepherds pie, fish and chips etc.

hahahahaaaaa.....

vyakula vya Caribbean na Curry ya Wahindi?

ugali wa udaga na supu ya makongolo ya mbuzi vipo kwenye menu za mashuleni Uingereza?

kama hakuna basi wameingilia imani na jadi yangu ya mavyakula ya kibantu!

Na nyingi kwenu Tanzania kwenye ma canteen ya shule na hospitali sijui kuna steamed beef bourguignon and cumberland apple pie? Ili tusiingilie jadi na imani ya Muingereza?

the long and short of it is, huwezi kufurahisha kila mja katika nchi yako kwa kumridhisha na alichokizoea akiwa kwao. Yeye ndio kakufuata, hataki tamaduni zako arudi atokako!

Eti hospitali za Uingereza zinagawa Caribean food and Indian Curry, kwanza mapilipili ya Kijamaika na Kihindi yataingilia mild food requirement ya chakula cha mgonjwa!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, wapo wanaomtetea Boris Johnson.

tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.

hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka

in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam period.

kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...

facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...

Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
Kaka hivi unapata wapi ujasiri wa kuongea juu ya Uislamu au kuna faida yoyote unayoipata ?

Nakushauri jitahidi usiwe unaongea jambo usilolijua labda uwe unataka umaarufu,kupotosha na kujufaragua ila kama elimu na ukweli bora ukae kimya.

Unajua nilitaka nipite kimya sababu umeongea uongo uliochupa mipaka,ila nikarudi tena nikasema niseme chochote bali ujasiri wako ndio umenirudisha hapa.

Soma surat al-Ahzaab na surat an-Noor utaona bali kuna hadithi nyingi za mtume amani iwe juu yake amezungumzia hujabu.
 
okay thanks a bunch, sasa kwamba hiyo ni kashfa kwa wavaa hijab ni mawazo yako wewe! Hakuna mahala rasmi pameandikwa Boris Johnson awakashifu wavaa hijab. Kwa sababu hawakubaliani Waingereza wote kwamba hijab ni njema, wapo wanaomtetea Boris Johnson.

tamaduni za Magharibi ni tofauti na utamaduni wa waarabu, tusilazimishe kuwamezesha kooni matamaduni ya kigeni wenyeji wanapotukaribisha tuishi kwao.

hakuna mahala Quran Takatifu imeongelea kuvaa hijab, niqab wala burka

in fact, hakuna mahala popote kwenye Quran Takatifu pameongelewa uvaaji wa Muislam period.

kwa hiyo ukiona mtu Kariakoo kavaa suruali ya dont-tachi na barakashia na kanzu, huo sio uislam, ni ma-utamaduni ya Uarabuni tumeyabuguia jumla. On the other hand huwezi kwa miaka milioni kukuta muarabu kavaa kitenge cha Mswahili au lubega la Mmasai...

facial expression, eye contact and positive identification of who the hell you are in public space are time-honored values of the western culture...

Hijab, Niqab, Burka zimepigwa marufuku Morocco, Cameroon, Chad, Republic of the Congo, Gabon, Austria, Denmark, France, Belgium, Tajikistan, Latvia, Netherlands pamoja na China
Surat al- Ahzaab : 59 na an-Noor : 31

Kaka kama unapenda kuuongelea Uislamu nakushauri uusome kuliko kuupotosha na kujichiresha nakuona kigaragosi.
 
I like people who speak think and speak free,binadamu wengi tumejaa unafiki tu,I just don't know why?
Wazungu wengi hawapendi tamaduni za kiislamu but akitokea mmoja kuelezee yanayomkera juu ya utamaduni huo basi atashambuliwa hata na wale wanaouchukia utamaduni huo. UNAFIKI.
 
Back
Top Bottom