Bora ungenipiga tu kuliko adhabu hii

Bora ungenipiga tu kuliko adhabu hii

Aliyataka,unarudije home kinyemela kama mwizi. Kutafuta maumivu ya hiari sipendagi mimi.
 
Naomba kajaribu harafu unipe mrejesho tafadhar
Kati ya hizi ni ipi hapo...?
images.jpeg
tapatalk_1552677058235.jpeg
 
Kuna kipindi enzi hizo nimemaliza advance nasubiri kwenda chuo nilikuwa naishi kwa bro alimpa mkewe adhabu kama hiyo, japo wao issue haikuwa cheating. Huyu shem wangu alikuwa hana time na kujali afya ya mumewe. Every time jamaa anatoka long safari anajinyima sana anabana hela walau afike nyumbani na mapocho pocho mengi. Unakuta njiani hali msosi akifika home hakuna hata uji wala chai. Mke yuko busy na normal family routine za msosi. Jamaa anaweza fika saa kumi jioni, akajikuta anasubiri tule msosi kwa ratiba ya saa mbili usiku, alafu ukute pamepikwa wali ambao jamaa siyo chakula chake.

Siku aliyochoka kuvumilia mateso, aliniita, akaniambia mdogo wangu, hawa wanawake ni mataira sana. Omba Mungu upate mke anayekujali la sivyo vidonda vya tumbo viko karibu. Akaniambia kuanzia sasa jifunze kuficha hela, mwanamke asijue kama una hela ya ziada, wakati mwingine upite sehemu ule chochote ili ukifika home hata kama mnachelewa kula usiteseke maana wewe unashinda shamba, la sivyo iko siku utazimia kwa njaa. Kweli bro akawa ananipa hela ya ziada tukiwa peke yetu bila shem kujua.

Ilifika kipindi uvumilivu ulimshinda bro. akaamua kujihudumia kwa kila kitu, kufua nguo zake, kupika chakula chake, kupasha maji ya kuoga asubuhi, ananyoosha nguo zake akienda ofisini, anaandaa breakfast, akirudi jioni anapita sokoni ananunua mahitaji, akifika nyumbani anaingia jikoni. Sasa kila kinachopikwa na mke jamaa hagusi. Hata kama pamepikwa ugali na yeye anataka ugali ataenda kupika wa kwake. Issue ilienda kama wiki moja hivi, mke aliblow, kuna siku alilia kama mtoto mdogo, akataka arudi kwao, jamaa akasema sawa nenda. Baadaye walisuluhishana na tangu siku hiyo mwanamke alinyooka. Then bro akaja kuniita tena akaniambia ukija kuoa, usije ukampiga mkeo... kama unaweza adhabu kama hizi ni bora mara mia. Aisee, wee acha tu inauma sana. Sasa nina miaka zaidi ya 10 sijawahi kupiga mtu, naitumia hii mbinu lakini kwa uchache sana maana nikigusa tu mtu chali...
 
Alichokifanya pia ni adhabu
Huyo jamaa yako Ni dhaifu Kama bunge fulani.mimi nisingechelewesha aidha jamaa angeenda polisi au ningeuza hata nyumba Kisha Nika fanye yangu mengine mapya yaani wao si wameaamua kuniletea fujo kwangu Mimi nawavuruga kabisa tutajua mbele kwa mbele
 
Popo kanyea mbingu😂😂😂, ukute hio style hata yeye mume hajawahi kupewa 😂😂😊😊..aliyesema mapenzi kizungumkuti hakukosea
Hahahaha na wewe unatoaga??
 
Game easy, anarudi maisha yanaendelea. Kwani atamfanya nini?
 
Ayo mawazo ya kipuuzi uchi wake anautumia anavyo taka sasa niue nikafie jela na mwanamke anabaki nje wanaendelea kumla.
Eti hapo anajidai angefanya uamuzu wa busara , yanini niende jela yeye ale bata uraiani huo upopompo cfanyi. hapo full talaka tu.
 
Huyo jamaa yako Ni dhaifu Kama bunge fulani.mimi nisingechelewesha aidha jamaa angeenda polisi au ningeuza hata nyumba Kisha Nika fanye yangu mengine mapya yaani wao si wameaamua kuniletea fujo kwangu Mimi nawavuruga kabisa tutajua mbele kwa mbele
mbona kama vile wewe ndo dhaifu.. jamaa ana mental toughness, we huna.
 
ila kuna wanawake akili hawana kabisa,unaanzaje kumpeleka mwanaume kwenye nyumba ya mumeo! yani mimi hapa na uanamme wangu siwezi mpeleka mwanamke nymbani kwangu
Usiseme hivyo nakuhakikishia wallah wapi wanaume wanaowapeleka michepuko yao nyumbani kbsa!!
 
Binadamu mwenye kushinda jaribu kama la jamaa hapo ni mwenye hekima na ustahimilivu wa hali ya juu na unaweza kuishi kwa amani japo itakutesa sana akilini.
 
Mzigua90 njoo huku na maelezo yaliyokamilika kuhusu hii style ya popo kanyea mbingu? Achana na ile ya kufinyia kww ndani
 
Back
Top Bottom