Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,870
- 37,644
Yaani ife kisa watu wanateka watu ?Haya mambo ya utekaji yataondoka
Unaona ilipokufa cuf Zanzibar imetulia?
Ikifa chadema haya mambo ya watu kupotea yataondoka.
Itakuwa upumbavu kabisa
Badala ya kukemea watekaji wajue nchi ni watu wote unawapa kichwa kuendelea na huu upuuzi