BOOM LA PILI 2nd SEMESTER.

Danos

Member
Dec 21, 2013
88
100
Habari ndugu zangu.
Nimetumiwa meseji yenye ujumbe huu;
"Ndugu zangu wa vyuo vikuu tumieni vizuri pesa mlizonazo kwani serikali haijapeleka pesa bodi ya mikopo kwa sababu ya bunge la katiba..tegemea kupata boom mwezi wa sita au wa saba..mjulishe na mwenzio ili atumie pesa zake vizuri."

Je kuna ukweli wowote juu ya hili, kwani nmeshuhudia watu wakpiga kelele za 'njaaaaaah' hapa mabibo hostel. Mwenye taarifa yoyote atujuze na pia kama mawaziri wa mikopo vyuoni mnausoma uzi huu mtujuze maana hali si shwari.Asanteni.
Nawasilisha.
 
Mawaziri bado hawako sawa...watu wamewanyima kura affu wamechagua boya...uduanzi..
Fununu tu.
 
Habari ndugu zangu.
Nimetumiwa meseji yenye ujumbe huu;
"Ndugu zangu wa vyuo vikuu tumieni vizuri pesa mlizonazo kwani serikali haijapeleka pesa bodi ya mikopo kwa sababu ya bunge la katiba..tegemea kupata boom mwezi wa sita au wa saba..mjulishe na mwenzio ili atumie pesa zake vizuri."

Je kuna ukweli wowote juu ya hili, kwani nmeshuhudia watu wakpiga kelele za 'njaaaaaah' hapa mabibo hostel. Mwenye taarifa yoyote atujuze na pia kama mawaziri wa mikopo vyuoni mnausoma uzi huu mtujuze maana hali si shwari.Asanteni.
Nawasilisha.

ela zimeishia kwenye katiba mpya
 
Mawaziri bado hawako sawa...watu wamewanyima kura affu wamechagua boya...uduanzi..
Fununu tu.

Asa we unataka kisa walikua mawaziri ndo wapewe kura hata kama hawafai kwa wanafunzi.? Binafsi naona huyu jamaa aliyechaguliwa ndo anafaa
 
Mimi mwenyewe mama kifusi atanitia jela kwa madeni, jamani heslb ninusuruni
 
Habari ndugu zangu.
Nimetumiwa meseji yenye ujumbe huu;
"Ndugu zangu wa vyuo vikuu tumieni vizuri pesa mlizonazo kwani serikali haijapeleka pesa bodi ya mikopo kwa sababu ya bunge la katiba..tegemea kupata boom mwezi wa sita au wa saba..mjulishe na mwenzio ili atumie pesa zake vizuri."

Je kuna ukweli wowote juu ya hili, kwani nmeshuhudia watu wakpiga kelele za 'njaaaaaah' hapa mabibo hostel. Mwenye taarifa yoyote atujuze na pia kama mawaziri wa mikopo vyuoni mnausoma uzi huu mtujuze maana hali si shwari.Asanteni.
Nawasilisha.

hii habarii hata hapa ardhi university imeenea...!
 
st . agustine.jpg st . agustine.jpg
 
poleni ndg zetu hata sisi tuliwahi kula mihogo ya kukaanga miezi miwili hapohapo mabibo hostel kipindi hicho hizo hostel ndo mpyaaaaa.
 
aise hali tete kama bunge la katiba wamemalizia hela na hamna cha maana walichofanya na mipasho yao
 
HATIMAYE MAJINA YABANDIKWA: baada ya kimbembe cha kucheleweshwa majina ya kusign kwa ajili ya fedha ya kujikimu wanafunzi katika chuo kikuu cha dar es salaam Leo hii majina yamebandikwa ikiwa ni hatua ya kupelekea kusign ili kuingiziwa fedha hizo. Majina hayo yaliyo bandikwa ni ya wanafunzi wote wanaolia NJAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Usipanick.... 
 
HATIMAYE MAJINA YABANDIKWA: baada ya kimbembe cha kucheleweshwa majina ya kusign kwa ajili ya fedha ya kujikimu wanafunzi katika chuo kikuu cha dar es salaam Leo hii majina yamebandikwa ikiwa ni hatua ya kupelekea kusign ili kuingiziwa fedha hizo. Majina hayo yaliyo bandikwa ni ya wanafunzi wote wanaolia NJAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA

Usipanick.... 

unautani na njaa zetu wewe
 
Back
Top Bottom