Bonyeza send!!!

marejesho

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2011
Posts
6,634
Reaction score
3,660
Foleni ndeeeefu kwenye daladala,

Jamaa kaona heri amtumie SMS bosi wake kumtaarifu kuwa atachelewa.

Ile kumaliza kuandika tu, kibaka kakwapua simu.

Jamaa kwa kujua kitakachofuatia kazini,kaishia kupiga kelele' Bonyeza send, bonyeza send!
bonyeza send wewee!
 
Unaweza kosa simu na kaz zote cku1, so kibaka angemckilza tu.
 
hahaha mwizi anataka kumuharibia jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…