Huyo si ndio alitoa taarifa serikali imemkataza kuingiza mtambo kusindika takaTaarifa aliyoitoa ni ya uongo au umekereka kaitoa yeye na sio meya wa jiji?
Huyo si ndio alitoa taarifa serikali imemkataza kuingiza mtambo kusindika takaTaarifa aliyoitoa ni ya uongo au umekereka kaitoa yeye na sio meya wa jiji?
We unamamlaka gani? Nani anakupa kiburi? Anayekupa kiburi ndie anayekupoteza........watch outHuyo si ndio alitoa taarifa serikali imemkataza kuingiza mtambo kusindika taka
Mkuu wameisha kula haramu mpaka wameshindwa kujua upi halali na ip ni haramu.Mwili wa mfukua makaburi tunao huku duniani, ila roho ya mfukua makaburi iko kwenye nakaburi yaliyozuhiliwa kufukuliwa. Ni muda rangi ya mkuu itaonekanaKuna dalili kuwa serikali kuu chini ya mtukufu Rais wanataka kulazimisha "nyama" haramu iwe halali kwa vile "kitoweo" kinahitajika.
Hapo ndio tutajua uthabiti wa imani kuhusu kupinga "haramu" ukoje. Jee ni wa kweli au ni maneno ya blabla?
Unautaka wauze shirika nje ya sharia zinavyotaka? Baba yenu kawafundisha kukanyaga katiba na sheria naona na nyie mmeiga. Hiyo ni jatamu msileChadema tokea msafishe fisadi Lowasa hamna atakayewamini tena.
Kila kitu mnataka mchakato ili kuchelewesha maendeleo ya wananchi makusudi.
Mnapinga kila kitu hadi maendeleo ya wananchi!!!
Kisena ni msukauma tutabariki tu huu mchezo kwa kuwa ni musukuma mwenzetuArguement kuhusu kuuzwa kwa hisa za UDA kwa wakati huu sijui kama zina mashiko tena. Kwa kauli za waziri ni kwamba asilimia 51 ya iliyokuwa UDA tayari imechukuliwa na Simon Group na fedha zimelipwa. Simoni Group kupitia kampuni yake tanzu ya UDART wanaendesha mradi wa mabasi ya mwendo kasi. Kuendelea na malumbano ya uuzwaji wa hisa za UDA ina maana sasa kila kitu kisimame pamoja na mradi wa UDART.
Ilikusonga mbele na kuepuka makosa ambayo inawezekana yalishafanyika huku nyuma ni serikali kama mwanahisa wa UDART (49%) kuhakikisha kwamba kampuni inaendeshwa kwa ufanisi na Return on Investiment inaonekana. Jiji la Dar es Salaama wawekeze hizo fedha za malipo ya hisa zake kwenye miradi kama stendi, shule, ujenzi wa barabara n.k
Wewe kwa akili yako kukibali hizo hela ni maendeleo kwa wanachi,!! Shem on you!!Chadema tokea msafishe fisadi Lowasa hamna atakayewamini tena.
Kila kitu mnataka mchakato ili kuchelewesha maendeleo ya wananchi makusudi.
Mnapinga kila kitu hadi maendeleo ya wananchi!!!
Pole kwa mawazo yako, ukijiona huwezi hata sababu ya kuishi huna. Pole sana mshindwa!!Hili ni tatizo kubwa la upinzani wa nchi yetu. Ufisadi upo katika nchi yetu na suala la UDA ni miongoni mwake. Ukawa hamuwezi huo mchakamchaka. Kuna vita mnapoteza muda tu. Hivi hao wananchi hayo ni kipaumbele? Ukawa ya sasa hivi si ya ufisadi. Pambaneni na immediate needs za wananchi. Ajira, njaa, gharama za maisha na Uhuru wa habari. Mengine, hamna uwezo wa kupaza sauti.
Potelea mbali zipangiwe matumizi na wanaofaidika na uuzaji huu wa shirika kubwa la UDA.Jukumu la upinzani ni lipi?. Hawa ndio wanatakiwa wawe na Sera mbadala bahati mbaya ni afadhali ya jana. Hivi outcome ya hilo wanalotaka watapata? Pesa zitapangiwa matumizi.
Tutajua nani mshindwa. Hizo ni kelele za mlango.Pole kwa mawazo yako, ukijiona huwezi hata sababu ya kuishi huna. Pole sana mshindwa!!
Kumbe unadhani kuna ligi, watakaoshindwa ni wanachi kwa kuwa hawana viongozi wa kuwatetea, wapo watawala tu.Tutajua nani mshindwa. Hizo ni kelele za mlango.
Huna lolote Lumumba boy.Chadema tokea msafishe fisadi Lowasa hamna atakayewamini tena.
Kila kitu mnataka mchakato ili kuchelewesha maendeleo ya wananchi makusudi.
Mnapinga kila kitu hadi maendeleo ya wananchi!!!
Hakuna alternative at the moment. The opposition has failed us miserably.Kumbe unadhani kuna ligi, watakaoshindwa ni wanachi kwa kuwa hawana viongozi wa kuwatetea, wapo watawala tu.
Mchakato na taratibu za sheria za manunuzi ya umma yaonekane kufanya kazi. Yaani tenda itangazwe ili mimi na wewe kama tuna uwezo tushindane katika uwanja ulio sawa..Baada ya kukataa fedha wanataka iweje?
We ni shidaaaUchambuzi mzuri na asante kwa kutuambia kuwa madiwani wa ccm bado wanataka kupiga dili juu ya dili.
Samahani unaweza kufafanua kidogo kuhusiana na hiyo bajeti ya b.34 hiyo stand ingekuwa na ukubwa gani pamoja na vitu gani. Na je katika pitia pitia yenu vitu alivyopewa simon vilistahili kuwa kiasi gani
Wana agenda gani ya siri katika utakatishaji huu wa fedha haramu?Utakatishaji Fedha bado upo na huu ni mfano wa kuhalalisha jambo lililokiukwa. Inauma kuona hata WAKUBWA wanabariki ufisadi