MPIGA ZEZE
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 2,539
- 2,296
Ni kweli, kama angekuwa na dhamira ya kupambana na ufisadi alikuwa na nafasi nzuri ya kukomalia kesi hizi mbili - za Lugumi na UDA. Ninashangaa sana ninaposikia Lumumba B-7 wanashangilia kuwa tumepata kiboko ya mafisadi. Kwa wanaCCM ufisadi unaanzia na kuishia kwa Lowassa - napo ni kwa sababu ilikuwa karibu awaache uchi.Hapa ndio napoamini yohana hana dhamira ya kupambana na ufisadi hasa fisadi akitoka kanda ya lake
Amewaandama watu wa kaskazini tu nchi bado inabariki uwizi na ufisadi