Ivi yai ni mwaisa kumbeSawa
Wanyakyusa hawatakagi ujinga
Ref: Richmond
Nawatakia Dominica njema 🇹🇿
Aibu yako hiiChadema wa JF mkiongozwa na mpiga domo wenu bwana Erythrocyte jiandaeni kumtukana Boni yai kama mnavyofanya Kwa wengine waliohama chama 😂
Wakuu.
Siku ya leo aliyewahi kuwa ni Meya wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai ataongea na waandishi wa habari baada ya ukimya wa muda mrefu.
Press itaanza muda wowote kuanzia sasa.
Tutegemee nini? Ataendelea kushikilia "No Reforms No Election" au nae atatema bungo kama G55?
Kaa karibu na uzi huu kwa ajili ya updates
=============================================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Boniface Jacob amesema wakati na baada ya uchaguzi wa kupata viongozi wa chama hicho kulikua na makundi yanayomuunga kiongozi wake na baadhi ya watu walikua wanatukana ambao walikua wanamuunga Mkono Mwenyekiti wa sasa Mhe. Tundu Lissu.
Mwenyekiti huyo amefafanua kuwa ukweli hauwezi kufichwa kuwa hata waliokua wanamuunga mkono mwenyekiti mstaafu Freeman Mbowe walitukana, na hiyo haina maana yakuwekeana chuki kwani kilikua kipindi cha uchaguzi.
Mdogo mdogo au sio?Hawawezi kutoka kwa pamoja, wengine watatoka baadae
Chinembe tangu jana anajitia vidole na kunusa juu habari ya Boniyai leo kaufyataHii sio habari nzuri aliyokuwa anaitegemea chiembe aliyetangaza press conference yake kila kona.
Aibu yangu kwamba?Aibu yako hii
Hehehe ameambulia aibuChinembe tangu jana anajitia vidole na kunusa juu habari ya Boniyai leo kaufyata
Wakuu.
Siku ya leo aliyewahi kuwa ni Meya wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai ataongea na waandishi wa habari baada ya ukimya wa muda mrefu.
Press itaanza muda wowote kuanzia sasa.
Tutegemee nini? Ataendelea kushikilia "No Reforms No Election" au nae atatema bungo kama G55?
Kaa karibu na uzi huu kwa ajili ya updates
=============================================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Boniface Jacob amesema wakati na baada ya uchaguzi wa kupata viongozi wa chama hicho kulikua na makundi yanayomuunga kiongozi wake na baadhi ya watu walikua wanatukana ambao walikua wanamuunga Mkono Mwenyekiti wa sasa Mhe. Tundu Lissu.
Mwenyekiti huyo amefafanua kuwa ukweli hauwezi kufichwa kuwa hata waliokua wanamuunga mkono mwenyekiti mstaafu Freeman Mbowe walitukana, na hiyo haina maana yakuwekeana chuki kwani kilikua kipindi cha uchaguzi.
Siyo wamejichanganya, hawa vibaka Mungu kawapiga upofu wafanye makosa ya wazi ili kila mwenye akili timamu awaelewe ni watu wa namna gani na pia ni nani yupo nyuma yao. CCM wana usengerema mwingi sana na hawajifunzi kila siku wanarudia makosa yale yale.Boni amemaliza kila kitu. Sasa tufunge mjadala wa g55.
Walijichanganya😀
Anatafuta upenyo wa kufanya Spinning lakini hotuba ya Bon yai imeziba mianya yote!!Hii sio habari nzuri aliyokuwa anaitegemea chiembe aliyetangaza press conference yake kila kona.
Hehehe ngoja tuoneHakuna mtu ccm atakubali kuligawa jimbo kwa upinzani na pia ni kuwaonea wana ccm
DuuhSawa
Wanyakyusa hawatakagi ujinga
Ref: Richmond
Nawatakia Dominica njema 🇹🇿
Au tuseme msajili hajatoa mpunga wa kuelewekaNadhani anataka kumwaga mboga!
Hakuna kitu nani? Kama ni Boni umetumia akili zako kuona sio potential au akili za kushikiwa?Hakuna kitu hapa kwanza sio potential kwenye siasa
Sio potential,acheni kukuza vilazaHakuna kitu nani? Kama ni Boni umetumia akili zako kuona sio potential au akili za kushikiwa?
Siyo Potential kwenye nini?Sio potential,acheni kukuza vilaza