PreGE2025 Boni Yai: Mimi Boniface Jacob sihami CHADEMA

PreGE2025 Boni Yai: Mimi Boniface Jacob sihami CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Unahama CHADEMA halafu kwa ujinga wako unawaza eti una haki ya kugawiwa mali za CHADEMA. Wewe una akili kweli?

Yaani ulikuwa muumini kwa Mwamposa unaposilimu unataka upewe sehemu ya majengo ya Kanisa la "Amka uangaze" kisa ulikuwa unatoa sadaka!

Ulipokuwa Muislamu ulikwenda hadi Makha kuhiji, leo umeokoka na kubatizwa unataka upewe mazulia ya msikitini... Wewe siyo bwege kweli?
 
Chadema wa JF mkiongozwa na mpiga domo wenu bwana Erythrocyte jiandaeni kumtukana Boni yai kama mnavyofanya Kwa wengine waliohama chama 😂
 
Utawala ulioshindwa uchaguzi si wavumilivu hata kidogo mmeweka maslahi yenu mbele zaidi badala ya kuangalia mashabiki na wanachama na Watanzania wanaokipenda chama hiki, wapenzi na wananchi tutakilinda hiki chama hata kwa mawe na marungu msirudi tena tutakwenda na Lissu wetu vivyo hivyo na ulemavu wake tutafika tu ila niwaambie hizo ahadi za Samia za kupata jimbo ni za uongo.
 
Safii .. umejivunia heshima kubwa.
💪💪✌️✌️✌️✌️
 
Back
Top Bottom