PreGE2025 Boni Yai: Mimi Boniface Jacob sihami CHADEMA

PreGE2025 Boni Yai: Mimi Boniface Jacob sihami CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
2,444
Reaction score
6,697
Wakuu.

Siku ya leo aliyewahi kuwa ni Meya wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai ataongea na waandishi wa habari baada ya ukimya wa muda mrefu.

Press itaanza muda wowote kuanzia sasa.

Tutegemee nini? Ataendelea kushikilia "No Reforms No Election" au nae atatema bungo kama G55?

Kaa karibu na uzi huu kwa ajili ya updates

=============================================

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Boniface Jacob amesema wakati na baada ya uchaguzi wa kupata viongozi wa chama hicho kulikua na makundi yanayomuunga kiongozi wake na baadhi ya watu walikua wanatukana ambao walikua wanamuunga Mkono Mwenyekiti wa sasa Mhe. Tundu Lissu.

Mwenyekiti huyo amefafanua kuwa ukweli hauwezi kufichwa kuwa hata waliokua wanamuunga mkono mwenyekiti mstaafu Freeman Mbowe walitukana, na hiyo haina maana yakuwekeana chuki kwani kilikua kipindi cha uchaguzi.

 
Nipo Sanya juuu nasubili kusikia uwelekeo wa Upinzani Je ni Ubwabwa mezani mwili mwenzie Ubwabwa
 
Kapewa madaraka hawezi kuhama huyo ni mchumia tumbo
 
Wakuu.

Siku ya leo aliyewahi kuwa ni Meya wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai ataongea na waandishi wa habari baada ya ukimya wa muda mrefu.

Press itaanza muda wowote kuanzia sasa.

Tutegemee nini? Ataendelea kushikilia "No Reforms No Election" au nae atatema bungo kama G55?

Kaa karibu na uzi huu kwa ajili ya updates

View attachment 3337872
Kwani huyu Polygon alishawahi kuwa mpinzani?
 
Back
Top Bottom