Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,444
- 6,697
Wakuu.
Siku ya leo aliyewahi kuwa ni Meya wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai ataongea na waandishi wa habari baada ya ukimya wa muda mrefu.
Press itaanza muda wowote kuanzia sasa.
Tutegemee nini? Ataendelea kushikilia "No Reforms No Election" au nae atatema bungo kama G55?
Kaa karibu na uzi huu kwa ajili ya updates
=============================================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Boniface Jacob amesema wakati na baada ya uchaguzi wa kupata viongozi wa chama hicho kulikua na makundi yanayomuunga kiongozi wake na baadhi ya watu walikua wanatukana ambao walikua wanamuunga Mkono Mwenyekiti wa sasa Mhe. Tundu Lissu.
Mwenyekiti huyo amefafanua kuwa ukweli hauwezi kufichwa kuwa hata waliokua wanamuunga mkono mwenyekiti mstaafu Freeman Mbowe walitukana, na hiyo haina maana yakuwekeana chuki kwani kilikua kipindi cha uchaguzi.
Siku ya leo aliyewahi kuwa ni Meya wa Ubungo, Boniface Jacob maarufu kama Boni Yai ataongea na waandishi wa habari baada ya ukimya wa muda mrefu.
Press itaanza muda wowote kuanzia sasa.
Tutegemee nini? Ataendelea kushikilia "No Reforms No Election" au nae atatema bungo kama G55?
Kaa karibu na uzi huu kwa ajili ya updates
=============================================
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) Boniface Jacob amesema wakati na baada ya uchaguzi wa kupata viongozi wa chama hicho kulikua na makundi yanayomuunga kiongozi wake na baadhi ya watu walikua wanatukana ambao walikua wanamuunga Mkono Mwenyekiti wa sasa Mhe. Tundu Lissu.
Mwenyekiti huyo amefafanua kuwa ukweli hauwezi kufichwa kuwa hata waliokua wanamuunga mkono mwenyekiti mstaafu Freeman Mbowe walitukana, na hiyo haina maana yakuwekeana chuki kwani kilikua kipindi cha uchaguzi.