Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,724
heshima mbele wana jf
Hebu tulitazame hili la bongo star search na uwezo wa washiriki ndani ya shindano. Kwa kweli nashindwa kuelewa ni nini hasa kinachotokea ktk kuangalia uwezo wa mtu na kipajia lihonacho ktk uimbaji,or perfomane in general. Kwa siku ya jana ametoka mshiriki mmoja kwa Jina la Norman Severino a.k.a Tege.,kijana ana uwezo mzuri sana wa kuimba na hata kumiliki jukwaa huku akiwa na vocal range kubwa sana,lakini pamoja na hayo yote ametolewa kwa kuwa na kura ndogo.swali la kujiuliza hv ni kweli kila mshiriki anapigiwa kura zote na watazamaji unknown au kuna wengine pamoja na kuwa na uwezo mdogo dhan others wana watu special wanafanya kazi ya kuwapigia kura? Nahisi kuna wengine wameajiri au kuwapa kazi watu spscial kwa ajili ya kuwafanyia kazi hiyo ili wasitoke nje ya bss na wawe washindi,its amusing kijana kama yule wa dodoma,a.k.a short shasis ameendelea kubaki,. Nimeona nyimbo moja ya wababa mtuka kaimba kabla ya kuingia bss,sijaona talent hapo.huyu hata akishinda namtabiria kuwa kama jumanne iddi.. No any revolution i can see in bss2012,nothing new than,jukwaa jipya na kambi mpya. Ni hayo wengine mnakaribishwa.
Hebu tulitazame hili la bongo star search na uwezo wa washiriki ndani ya shindano. Kwa kweli nashindwa kuelewa ni nini hasa kinachotokea ktk kuangalia uwezo wa mtu na kipajia lihonacho ktk uimbaji,or perfomane in general. Kwa siku ya jana ametoka mshiriki mmoja kwa Jina la Norman Severino a.k.a Tege.,kijana ana uwezo mzuri sana wa kuimba na hata kumiliki jukwaa huku akiwa na vocal range kubwa sana,lakini pamoja na hayo yote ametolewa kwa kuwa na kura ndogo.swali la kujiuliza hv ni kweli kila mshiriki anapigiwa kura zote na watazamaji unknown au kuna wengine pamoja na kuwa na uwezo mdogo dhan others wana watu special wanafanya kazi ya kuwapigia kura? Nahisi kuna wengine wameajiri au kuwapa kazi watu spscial kwa ajili ya kuwafanyia kazi hiyo ili wasitoke nje ya bss na wawe washindi,its amusing kijana kama yule wa dodoma,a.k.a short shasis ameendelea kubaki,. Nimeona nyimbo moja ya wababa mtuka kaimba kabla ya kuingia bss,sijaona talent hapo.huyu hata akishinda namtabiria kuwa kama jumanne iddi.. No any revolution i can see in bss2012,nothing new than,jukwaa jipya na kambi mpya. Ni hayo wengine mnakaribishwa.