Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Nope dear, jack akitulia ana vocal moja tamu refer performance yake ya kanyimbe, tatizo hajajijulia asimame sehemu gani afu hana matashtiti ingawa jana nilimkoma kwenye taarabu. Kev ni msanii wa kawaida ila ni mjanja mjanja sana, ule ujanja utamsaidia sanaBora huyo Kev, Jackie sijui katafuna kizizi gani aisee yani haata sielewi
Hahhah kuna aslay pale kati, maromboso et al. Sipati pichaaaaa
Dogo anajitahidi aisee..Tupige kura sasa mpendwa
Hahhaha tumpigie tu kura jamani, afu tumuombee yote ya kheri. teh nachekaga tu kanavyochezaWanaweza lakini dogo anaweza sana. Yani akiimba hua nashtukia nakenua mwanzo mwisho halafu najishtukia kumbe sikua nimekaa yani najikuta kama nilichuchumaa flani kwe kiti. Teh dogo anakomesha.
Lacute hujajua tu my dear, Lupenza ana sauti moja hataree. But nahisi lupenza ndo type za kina rich mavoko. Sijui ni nyota au swagga ndo Sielewi hapoMule mule yani me ningetupa kule huyo Jackie na Lupenza hapo anaingia mtoto mzuri Angelmary Kato na Doris
Hahhaha tumpigie tu kura jamani, afu tumuombee yote ya kheri. teh nachekaga tu kanavyocheza
Kweli jamani kayumba ana kasura ka upole + kanaonekana kako humble sana. Nakapenda tu bureYeah... Mungu amfungulie nje jamani sio kwa kujua kule + ule mwonekano wa kipole na kanaonekana heshima zipo.
Lacute hujajua tu my dear, Lupenza ana sauti moja hataree. But nahisi lupenza ndo type za kina rich mavoko. Sijui ni nyota au swagga ndo Sielewi hapo
Fonabo anajitahidi kusema na ukweli afu anaonekana anawasaidia sana wenzie kwenye mazoezi. Emmy hata alivyotoka sikuelewa kwa kweliKwa watoto wa kiume kwangu ni Kayumba na Fonabo, then wadada kwanza Frida, Angelmarry alikua na Emmy Wimbo ila ndo hivyo tena.
Fonabo anajitahidi kusema na ukweli afu anaonekana anawasaidia sana wenzie kwenye mazoezi. Emmy hata alivyotoka sikuelewa kwa kweli
Eeeh Doris kwenye za bolingo ndo pake. Mungu awasaidie wote career zao za music ziendelee. Wanajitahidi Sana, sema ndo kura itabidi tu nimpe kayumba tehAcha tu. Bora Doris kapata kazi Malaika band. Na bolingo anaziweza.
Yeah...Safari hii naona wamekuja tofauti,nahisi itasaidia kama watakuwa serious
Walter ndo mshindi ninayemkubali zaidi miongoni mwa wote waliopita
Jamani naombeni mwenye kujua ratiba ya marudio ya BSS aniambie maana umeme huu nina wiki ya 3 sijaangalia.
Vipi my dearest Kayumba Juma bado yupo?
Kwa yule kiazi walter.wamuache tu Lile taji lilikua la Salma.
Nope dear, jack akitulia ana vocal moja tamu refer performance yake ya kanyimbe, tatizo hajajijulia asimame sehemu gani afu hana matashtiti ingawa jana nilimkoma kwenye taarabu. Kev ni msanii wa kawaida ila ni mjanja mjanja sana, ule ujanja utamsaidia sana
Hahaha Walter alikuwa anakastyle anaimba wee afu anapeleka mbele kasura kake na kunyanyua kamguuHapana Walter ni mkali kuliko Salma, alibebwa tu kwakuwa alikuwa kipenzi cha ritha, ila walter mkali mnooo, sema kalikuwa kamepooza fulani kakaja kuchangamka mwishoni.
Nope dear, jack akitulia ana vocal moja tamu refer performance yake ya kanyimbe, tatizo hajajijulia asimame sehemu gani afu hana matashtiti ingawa jana nilimkoma kwenye taarabu. Kev ni msanii wa kawaida ila ni mjanja mjanja sana, ule ujanja utamsaidia sana
Hahhaha tumpigie tu kura jamani, afu tumuombee yote ya kheri. teh nachekaga tu kanavyocheza