suplex city
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 433
- 117
Lol!
Pls niachie Kayumba.....
Nyota ya Kayumba ni kama ya mzee wangu kipenzi Lowassa.
Kev na Angel out
Exactly, hiyo ndo top 3 yangu piaMmh kazi ipo kwa Kayumba, Fenabo na Fridah
HAPA KAZI TU. Madam Nae Hakumkopesha Akamchana Live Kuwa Ajue Kuwa Analipwa Na BSS Na Si Vinginevyo. Namsubiri Kwa Hamu Mno Sizya Kesho Pale Tegeta Stendi Ya Kwa Ndevu Ktk Kijiwe Chetu Cha MAFUNDI Simu Kwa MATEJA Ili Nimcheke Jinsi Alivyotolewa Nishai Na The Big Boss Madam Rita.
Madam ni timu mabadiliko mwenzetu.
HAPA KAZI TU. Madam Nae Hakumkopesha Akamchana Live Kuwa Ajue Kuwa Analipwa Na BSS Na Si Vinginevyo. Namsubiri Kwa Hamu Mno Sizya Kesho Pale Tegeta Stendi Ya Kwa Ndevu Ktk Kijiwe Chetu Cha MAFUNDI Simu Kwa MATEJA Ili Nimcheke Jinsi Alivyotolewa Nishai Na The Big Boss Madam Rita.
Atolewa tu hata huo u-MC ni majanga tu analeta siasa kwenye starehe za watu.
HAPA KAZI TU. Madam Nae Hakumkopesha Akamchana Live Kuwa Ajue Kuwa Analipwa Na BSS Na Si Vinginevyo. Namsubiri Kwa Hamu Mno Sizya Kesho Pale Tegeta Stendi Ya Kwa Ndevu Ktk Kijiwe Chetu Cha MAFUNDI Simu Kwa MATEJA Ili Nimcheke Jinsi Alivyotolewa Nishai Na The Big Boss Madam Rita.
sikusikia siza kasemaje ila apo alivomchana nimemsikia.....hahaha anamoyo wa uvumilivu mi ningetimua mbio za olympik kwa aibu
Salama mzuri ila basi tu.
Lol!
Pls niachie Kayumba.....
Nyota ya Kayumba ni kama ya mzee wangu kipenzi Lowassa.
hilo ndugu mbona tunalijua muda mrefu kayumba yuko katika management ya mkubwa na wanawe tunaoishi Temeke mikoroshini tunalijua swala hilo acha tujivunie
Madam ni timu mabadiliko mwenzetu.
hahahaha
Kama Ya Dr. Magufuli.
Ila nyie huyu kev me hata simuamini. Mnaweza a
Shangaa kaingia top 3. Me still wangu ni fridah, kayumba na naseeb