Nani atazama hii kitu saivi?Leo wanaonesha auditions za Lindi na Arusha..it is so very much fun and funny too..
Na hivi kwann salama ni mwepesi kunotice na kucomment kuhusu u cute wa mtu?
Labda ni experienced..................... Umeona swaga za mmasai na yule mwenye mjusi?
Ila yule dada mwenye mtoto albino amenitachi kweli.
KOKUTONA yule dada mwenye mtoto albino kaimba vizuri sana kiukweli..hata sijanotice mwishoni kama kasail through ama la..nijuze.
Next week ni Mwanza na Mbeya,ngoja tuone itakuwaje.
Huwezi amini Mtundu Kisu yule dada wamemtosa. Amelia hadi kaniliza na mimi. Sijui kwa nn wamemwacha, labda sbbu ya mtoto. Sijui kwa nini kwa kweli.
Kiukweli yule dada wamem'onea...anajua sana:alien:
Sio kila kitu uambiwe nawewe!weee nani kakwambia salama hataki kwenda shule???
Na hivi kwann salama ni mwepesi kunotice na kucomment kuhusu u cute wa mtu?
Salama bingwa wa kusaga. Akiamua kuwaponda vijana anaua kweli kweli. Lakini anachangamsha kipindi. Tatizo lake hataki kwenda shule tu.