Washindi wa shindano la Bongo Star Search tangu lilipoanza mpaka sasa wako wapi na wana fanya nini?..
Watakuwa makwao ndg yangu .
sasa ye mzee auIssue kama unakuwa huzijui unapotezea tu, siyo lazima uchangie kila uzi, nyingine ni za vijana zaidi..
Issue kama unakuwa huzijui unapotezea tu, siyo lazima uchangie kila uzi, nyingine ni za vijana zaidi..
Washindi wa shindano la Bongo Star Search tangu lilipoanza mpaka sasa wako wapi na wana fanya nini?..
Leah Muddy anendesha bendi inaitwa Q Band, Msechu kazi zake zinaonekana, na hata Baby Madaha keshafanya shughuli nyingi za kisanii. Ukiamua kufanya utafiti badala ya umbeya utakuta asilimia kubwa wako kwenye sanaa kwa namna moja au nyingine.
Sasa haya mambo ya umbeya yanatoka wapi wakati mimi nimeuliza swali ili nijue kwa sasa wako wapi na kipi wanafanya, huo utafiti unafanywa vipi bila kuuliza, kama nilivyofanya?,,
wapi misoji nkwabiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
wanapewa u-star kabla hawajawa ma-star, maisha yana washinda then nature inawaselect wanapotea...Washindi wa shindano la Bongo Star Search tangu lilipoanza mpaka sasa wako wapi na wana fanya nini?..