Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 43,037 Reaction score 34,742 Feb 12, 2013 #1 BONGO IPO UPANDAJI KAMA HUU JAMANI?
BJBM JF-Expert Member Joined Nov 25, 2011 Posts 664 Reaction score 602 Feb 12, 2013 #2 Boda boda wameifanya kama Noah kwa hiyo idadi ya watu af hamna hata mtu alyevaa helmet, too risk..
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,662 Feb 12, 2013 #3 Jamaa haurumii watoto aliowapandisha.
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Feb 12, 2013 #4 MziziMkavu said: BONGO IPO UPANDAJI KAMA HUU JAMANI? Click to expand... kidogo iwe watu8 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Feb 12, 2013 #5 MziziMkavu said: BONGO IPO UPANDAJI KAMA HUU JAMANI? Click to expand... noooo nilikuwa sijaona vizuri ni watu8
MziziMkavu said: BONGO IPO UPANDAJI KAMA HUU JAMANI? Click to expand... noooo nilikuwa sijaona vizuri ni watu8
Rich Woman JF-Expert Member Joined Dec 18, 2012 Posts 867 Reaction score 558 Feb 12, 2013 #6 loh nimemkumbuka watu8 baada ya kuiona hii picha Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Rich Woman JF-Expert Member Joined Dec 18, 2012 Posts 867 Reaction score 558 Feb 12, 2013 #7 Ndibalema said: Jamaa haurumii watoto aliowapandisha. Click to expand... hasa hako kadogo akiongeza speed hapo sijui kwakweli kitakachotokea
Ndibalema said: Jamaa haurumii watoto aliowapandisha. Click to expand... hasa hako kadogo akiongeza speed hapo sijui kwakweli kitakachotokea
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Feb 12, 2013 #11 ukisikia watu8 ndio hiyo sasa..
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Feb 12, 2013 #12 Dotworld said: Click to expand... nani anaye endesha hapo!!!
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Feb 12, 2013 #13 Dotworld said: Click to expand... hii ni zaidi ya watu8 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,369 Reaction score 108,529 Feb 12, 2013 #14 Zamaulid said: kidogo iwe watu8 Click to expand... wapo nane hapo mkuu...hiyo ndio profile photo yangu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Zamaulid said: kidogo iwe watu8 Click to expand... wapo nane hapo mkuu...hiyo ndio profile photo yangu
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,369 Reaction score 108,529 Feb 12, 2013 #15 Rich woman said: loh nimemkumbuka watu8 baada ya kuiona hii picha Click to expand... Asante best...nimekumisije!! Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Rich woman said: loh nimemkumbuka watu8 baada ya kuiona hii picha Click to expand... Asante best...nimekumisije!!
Rich Woman JF-Expert Member Joined Dec 18, 2012 Posts 867 Reaction score 558 Feb 12, 2013 #16 watu8 said: Asante best...nimekumisije!! Click to expand... the feeling is mutual...
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Feb 12, 2013 #17 watu8 said: wapo nane hapo mkuu...hiyo ndio profile photo yangu Click to expand... kiongozi una wahesabu vipi hapo mi naona wako zaidi!!maana kuna watoto wawili,kwenye ndoo na mgongoni!!kule mbele wako watatu na hao wakubwa watatu,na huyo aliyebeba mtoto naona kama wako tisa!
watu8 said: wapo nane hapo mkuu...hiyo ndio profile photo yangu Click to expand... kiongozi una wahesabu vipi hapo mi naona wako zaidi!!maana kuna watoto wawili,kwenye ndoo na mgongoni!!kule mbele wako watatu na hao wakubwa watatu,na huyo aliyebeba mtoto naona kama wako tisa!
Mjuni Lwambo JF-Expert Member Joined Apr 25, 2012 Posts 11,718 Reaction score 13,423 Feb 12, 2013 #18 Dotworld said: Click to expand... Hii ni ​watu8
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 1,996 Reaction score 617 Feb 12, 2013 #19 kila kukicha kinazuka kituko kipya duniani
N Ngekewa JF-Expert Member Joined Jul 8, 2008 Posts 7,705 Reaction score 1,288 Feb 13, 2013 #20 MziziMkavu said: BONGO IPO UPANDAJI KAMA HUU JAMANI? Click to expand... "Family circus"