Kutengeneza movie inayoendana na uhalisia ni garama kubwa,kwa hiyo hizi wanazokosea kosea zinakuwa na garama ndogo ili angalau wauze wapate hata fedha ndogo ya kujikimu
Nimeona nilete huu Uzi hapa kutokana na movie nlio kua naiangalia sijaielewa kabisa
Ati movie imeigizwa maabusu Kuna ubao wa chaki .. he hili Ni kweli?