Bongo movie aibu tena

Bongo movie aibu tena

acheni kupotosha bongo movie hawana uwezo wa kuzuia maduka ya kuuza dvd za nje yafungwe kama kweli wanataka waende mlimani city na majumba mengine ya sinema, kilichosababishwa yafungwe ni kudaiwa kuweka sitika za cosota na TRa kama taratibu zinavyoelezwa
 
Bongo movie hawana akili wanadhani kufanya hivyo ndo tutanunua hizo filamu zao za kipumbavu? Hawana wanachokifanya zaidi ya ujinga uliopotiliza.mtu Kama Ray amebaki kusema Pumbavu tu katika movie zake utadhani ndoa kuigiza anadhani nani atanunua huo upuuzi. Hawana uhalisia wamebaki kutupigia kelele tu.
 
Pole zenu mnaonunua movies K/Koo..
Wenzenu nikiwemo mimi napakua series zangu za kikorea mwenyewe.
Hivyo hilo suala halitoniathiri hata chembe.
Nielekeze kuzipakua my dia
 
Pole zenu mnaonunua movies K/Koo..
Wenzenu nikiwemo mimi napakua series zangu za kikorea mwenyewe.
Hivyo hilo suala halitoniathiri hata chembe.
POPOMA GENTAMYCINE ameniambia amenunulia laptop ya Apple, ndio hiyo unayotumia kupakua series au unatumia ile iPhone yako?
 
Haulijui soko la movie la Tanzania wstu wanaangalia cover la movie ndo anashawishika kununua movie

!
!
Wanaoangalia cover ndio wamekywa wateja wakubwa wa bongo movie. Mimi naijua movie kupitia net au vipindi mbalimbali vya radio au tv. Nikishahisi kuipenda kinachofata ni kuitafuta kwa kutumia jina lake tu. Kwa hiyo iwe kwa kudownload au kwa kuchukua kwenye flash sijali sana, mradi naiweka kwenye external yangu naenda kucheki. Hayo ya cover sijui cd au dvd niliyaacha kitambo mno. Wewe endelea kusubiri macover na cd au dvd uwe unaangalia movie za juzi
 
sisi wengine tunataka zile za kutafsiriwa na rufufu, Juma khan, anko msafiri na yule jamaa wa kenya
 
Sasa wao wenyewe Filam zao wanaandika juu kwa Kiingerezea wakati ndani ni kiswahili.
Wanategemea nini,
Halafu wauza sura kibaooo,na alivyokufa Kanumba tu basi hakuna mjanja atakaetoboa tena.

Ngono movie ni sheeeda,huwezi kujifunza kwao kama kioo cha jamii,na kwangu filam hizo hakuna hata anaetizama zaidi ya vichekesho tuu,Comedy ndio naangalia ila hizi za kujifanya wazungu,kukaaa uchi,lazima walale kitandani,lazima wapapasane.

Wakorea sasa hivi ndio wanakuja vizuri saana,na angalau maadili yao ni mazuri na unaweza kuangalia na wazazi,hapa kwetu tunajidai kwamba utandawazi,mbona wenzetu Korea na Japana wapo kwenye karne hiyo zaidi ya miaka 30 na wanafanya vizuri,ulimbukeni utatumaliza aiseee.

Mie mwenyewe sinunui na sikumbuki lini,inafika miaka 14,sijanunua,na hivi Comedy zoote zinarushwa na TV ndio kabisaaaa,Maria Clara na Inna waliwamaliza,na bado hawa wengine watawafyeka woote

Mchawi wa Bongo Movie,ni wao wenyeweeee,Maadili,maaaadiliiiiiiii,Uchuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,uchafuuuuuuuuuuuuuuuuu mtupuuuuuuuuuuuuuu
 
NI KWELI MKUU NIMESIKIA KWENYE REDIO HALAFU HAO WA KWNYE MADUKA YA MUVI ZA KIKOREA MBONA LESENI ZA BIASHARA WANAZO KWANINI WAZUILIWE
Wenyewe ndio wameamua kufunga ila sio serikali.
 
Jaman muv za kibongo....nikikumbuka yule jambaz aliemvamia iren kisha akavua viatu ndo akaingia ndan sion sababu ya kulazmisha tuzinunue
Tena bila aibu Ray anasema hawana bajeti ya kutengeneza movie tofauti na hizo wanazotengeneza, na wao wanataka kula hivyo hawawezi kuacha kuzitengeneza,hivyo ndio mnabidi muendelee kununua tu hivyo hivyo ili wao wapate kula na nyie mtakuwa mnaonesha uzalendo.
 
WAACHANE NA MAMBO YA PART ONE NA TWO AMBAPO UKIANGALIA MOVIE INAMATANGAZO KAMA ISHIRIN ALAFU MOVIE YENYEWE UNAANGALIA DAKIKA 15 IMEISHA ALAFU HAINA MVUTO UKIONA KASHA TU BAAS UMESHAJUA MOVIE IMECHEZWAJE TUPO KOREA BANA VITU VYA UKWEL MKIWEZA KUIGIZA HIVYO NA ZIWE NDEFU TUTANUNUA
Wanakwambia hawana bajeti ya kutengeneza movie kama hizo.
 
Masharti ambayo wanawekewa ni magumu na ndio maana wanalalamika.. na huo ni msukumo kutoka Bongo movies iweje washughulikie suala la filamu za nje kukidhi viwango wakati zetu wenyewe zimetutokea puani!! Na bado Internet zinaachwa tu! wafunge basi na internet mbona nayo ina mapungufu kibao mara elfu ya series ya korea tunazozitazama!
Masharti gani magumu ambayo wameelezwa hao wauzaji hadi iwe ngumu kwao kufuata sheria bila shuruti?
 
Kampeni walizofanya bongo movie tunaona matunda yao sasa.
 
Halafu walivyo wavivu kujiendeleza sasa.
Kila msanii utasikia mie ni kipaji changu,Sanaa ipo kwenye damu yangu,sijui Marehem bi Kidude na Mzee Jangala ni ndugu zangu,ebbboo

Chuo Cha Bagamoyo ni chuo kikubwa,ila ukienda unakuta wazungu telee ndio wanaenda kusoma,na baaadhi kutoka nje ya nchi.Ukiwauliza wao,wanakuambia wapo busy wana attend short courses tu.

Hawana namna,watapotea tu,na hii kasumba ya Bongo kila msanii anakuambia Sanaa imo kwenye Damu yangu,wakati wenzao wanaenda Shule,watapotea taratibuuu

We Mtunzi mpaka msambazaji mtu mmoja,kila kitu yeye,wakati wenzetu movie ikiisha ukiangalia watu na vichwa vilivyoipitia hiyo kazi unaweza kulala na kuamkaa screen inasoma tu.
 
Back
Top Bottom