Bongo: Kaeni Mkao wa Kula

MaxShimba

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
35,772
4,054
534724_483875504967734_1528339180_n.jpg
 
Hawa sio wale wanaotumalizia Tembo wetu kwenye hifadhi za Taifa kweli?
 
Askari toka lini akavaa kandambili?

Hawa sio askari bali ni Mgambo.
Mpiganaji yeyote aliyeajiriwa na serkali/mamlaka rasmi huitwa askari (soldier)
Mpiganaji yeyote aliyeajiriwa na kikundi cha waasi kuitwa Mgambo (militia).
Kwavile vikundi vya waasi mara nyingi uchumi wao sio mzuri huu saghalabhaghala.

Bazazi!
 
Back
Top Bottom