Bongo: Kaeni Mkao wa Kula

Bongo: Kaeni Mkao wa Kula

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
534724_483875504967734_1528339180_n.jpg
 
Hawa sio wale wanaotumalizia Tembo wetu kwenye hifadhi za Taifa kweli?
 
Askari toka lini akavaa kandambili?

Hawa sio askari bali ni Mgambo.
Mpiganaji yeyote aliyeajiriwa na serkali/mamlaka rasmi huitwa askari (soldier)
Mpiganaji yeyote aliyeajiriwa na kikundi cha waasi kuitwa Mgambo (militia).
Kwavile vikundi vya waasi mara nyingi uchumi wao sio mzuri huu saghalabhaghala.

Bazazi!
 
Wanawinda Ndezi hawa tusidanganyane.......
 
Back
Top Bottom