Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Ni vijiswali tu ambavyo huwa najiuliza mara kwa mara na labda na wewe una vyako, unaruhusiwa kuviongeza hapa chini:
Hivi n' kwanini..............
-Mtu anatumia simu ya blackberry kwa kupiga na kupokea tu na hajui kutumia function nyingine yoyote?
-Mtu siku zote anakunywa safari lakini akizifumania anahamia kwenye Heinneken?
-Mtu unaishi Temeke lakini kila siku unashinda Masaki na Oysterbay?
-Mtu ukiwa hata mwendawazimu lakini unaongea kiingereza watu wanafikiri umesoma sana?
-Mtu ukiwa unaishi 'majuu' watu wanadhani una mihela ya kumwaga?
-Mtu anaona kula chips kuku kila siku ni ufahari?
-Mtu usipomnunulia kadi ya valentine demu wako anakumwaga?
-Mtu ni Rais na kila mwezi akiongea na wananchi haongelei yale watu wanayotaka kumskia akiyaongelea?
-Mtu umetuhumiwa kutenda kosa, hakuna hata ushahidi, lakini polisi wakija kukukamata lazima wakupige kwanza na ulale ndani?
-Mtu unaendesha gari lako, traffic lights zinafanya kazi, lakini polisi ndo anaongoza magari?
Hivi n'kwanini jamani????
Hivi n' kwanini..............
-Mtu anatumia simu ya blackberry kwa kupiga na kupokea tu na hajui kutumia function nyingine yoyote?
-Mtu siku zote anakunywa safari lakini akizifumania anahamia kwenye Heinneken?
-Mtu unaishi Temeke lakini kila siku unashinda Masaki na Oysterbay?
-Mtu ukiwa hata mwendawazimu lakini unaongea kiingereza watu wanafikiri umesoma sana?
-Mtu ukiwa unaishi 'majuu' watu wanadhani una mihela ya kumwaga?
-Mtu anaona kula chips kuku kila siku ni ufahari?
-Mtu usipomnunulia kadi ya valentine demu wako anakumwaga?
-Mtu ni Rais na kila mwezi akiongea na wananchi haongelei yale watu wanayotaka kumskia akiyaongelea?
-Mtu umetuhumiwa kutenda kosa, hakuna hata ushahidi, lakini polisi wakija kukukamata lazima wakupige kwanza na ulale ndani?
-Mtu unaendesha gari lako, traffic lights zinafanya kazi, lakini polisi ndo anaongoza magari?
Hivi n'kwanini jamani????