Bongo Hip-hop finest lyrics.

Bongo Hip-hop finest lyrics.

Nitume mimi yesu kasema/
Kaja kala kichapo sijui kama atarudi tena/
By Baba malcom
Mashairi hayo niliwahi kuyatuma katika group moja la whastapp (waliosomea Tanga) member walihamaki na mitusi Juu.

Baadaye ni nikawapooza vizuri wote bila wasiwasi.
Hakika hip hop chakula cha Ubongo!
 
Mashairi hayo niliwahi kuyatuma katika group moja la whastapp (waliosomea Tanga) member walihamaki na mitusi Juu.

Baadaye ni nikawapooza vizuri wote bila wasiwasi.
Hakika hip hop chakula cha Ubongo!
Utaitwa mpinga kristo
 
Jamaa si ana dip health so wakampachika jina.. na yeye pia anajiita Dr wa game
Nilimusikia katika "interview" moja
Anadai kipindi anaanza kazi 2008/9-Mkoani Shinyanga ya kuhudumu wagonjwa...Kuna jemba walikuwa wanajifanya wanaumwa kumbe wanataka kumuona tu. Dr.Bonta!!

Namheshimu sana!!
 
Nilimusikia katika "interview" moja
Anadai kipindi anaanza kazi 2008/9-Mkoani Shinyanga ya kuhudumu wagonjwa...Kuna jemba walikuwa wanajifanya wanaumwa kumbe wanataka kumuona tu. Dr.Bonta!!

Namheshimu sana!!
Haha.. sema alikuja kubadilisha career sijui maana alienda kusoma kitu kingine mzumbe.
 
Funika nifunue uliza ujibiwe balaa langu kama shee alielishwa nguruwe.
By Child Benz.
 
Tenda wema nenda zako ateyekulipa Mungu/

Sio unawekeza ulipwe usipolipwa Majungu/

R.I.P. LANGA!!
 
Ushasikia wapi mteja kadumu kwenye ofisi/

Akikoswa na raia basi anaangukiwa na polisi/

R.I.P LANGA.
Haha
Naamka asubuhi nacheki mfukoni waya mkali/
Ooya Dark nitoe bati nikanywe chai /

RIP MABOVUU moja kati ya watu niliokuwa nawaelewa saana saana... magwea sijawahi kumwelewa sijui jwanini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom