Bongo haya yatafika lini?

Nadhani hamna haja yakubishana sana kuhusu fuel comsumption ya hilo gari. Assuming that it is made of gold and someone can afford to buy it then they can afford to maintain it. It's all about the money and you can't tell me there are no people who can afford it.
 
Inashangaza kuona watu wanatupiana maneno kuhusu gas kiasi gani hii Bima inatumia!

Kama huyu mwenye gari anaweka kununua gari ya gold, ndio gas ya nusu dola kwa galoni dubai imshinde?!

Kweli Watanzania wamejaa wivu usio na maana. lol

Nadhani hamna haja yakubishana sana kuhusu fuel comsumption ya hilo gari. Assuming that it is made of gold and someone can afford to buy it then they can afford to maintain it. It's all about the money and you can't tell me there are no people who can afford it.


Wakuu, naona nyie ndio pekee wenye hekma hapa. Wengine hapa ni harasa tupu, yaani wao wanapigania bei ya mafuta, wakati mwenye gari anakwenda kwa dhahabu!!

Mungu awazidishe hekma zaidi wakulu. Labda watajifunza kutoka kwenu hapo baadae.
 
hapa kwa kuongezea kuhusu consuption ya mafuta na mass ya gari inabidi tuwe waangalifu sana, kidogo ninakuwa na wasiwasi na mawazo ya brue ray na sikonge, ni kweli ukubwa wa gari ndio ukubwa wa injini, lakini sio fuel consuption, <?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:eek:ffice:eek:ffice" /><o:p></o:p>
kuna mfano wa hizi Landlover 110, kuna toleo mbili za hizi 110, moja ni 4cylinder na nyingine ni V8 (V engine type with 8cylinder), sasa ukiangalia zote zina almost same size na same mass, lakini hiyo ya V8 inabugia mafuta kuliko kitu chochote, kwa hiyo kunywa mafuta sio sana mass ya gari bali ni mode ya injini, <o:p></o:p>
nadhani hata hapo mjini mara nyingi magari ya 6cylinder watu wanayakimbia kwa sababu ya fuel consuption japo yapo sawa na yenye 4cylinder in term of shape na mass
na mimi ninauhakika kabisa zipo gari ndogo (especially American cars) zinakula mafuta sawa na mabasi makubwa yenye uzito mkubwa<o:p></o:p>
 
hapa kwa kuongezea kuhusu consuption ya mafuta na mass ya gari inabidi tuwe waangalifu sana, kidogo ninakuwa na wasiwasi na mawazo ya brue ray na sikonge, ni kweli ukubwa wa gari ndio ukubwa wa injini, lakini sio fuel consuption, ffice:eek:ffice" /><o>:p></o>:p>
kuna mfano wa hizi Landlover 110, kuna toleo mbili za hizi 110, moja ni 4cylinder na nyingine ni V8 (V engine type with 8cylinder), sasa ukiangalia zote zina almost same size na same mass, lakini hiyo ya V8 inabugia mafuta kuliko kitu chochote, kwa hiyo kunywa mafuta sio sana mass ya gari bali ni mode ya injini, <o>:p></o>:p>
nadhani hata hapo mjini mara nyingi magari ya 6cylinder watu wanayakimbia kwa sababu ya fuel consuption japo yapo sawa na yenye 4cylinder in term of shape na mass
na mimi ninauhakika kabisa zipo gari ndogo (especially American cars) zinakula mafuta sawa na mabasi makubwa yenye uzito mkubwa<o>:p></o>:p>


asante kituko kwa kunielewa!

 
Wakuu, naona nyie ndio pekee wenye hekma hapa. Wengine hapa ni harasa tupu, yaani wao wanapigania bei ya mafuta, wakati mwenye gari anakwenda kwa dhahabu!!

Mungu awazidishe hekma zaidi wakulu. Labda watajifunza kutoka kwenu hapo baadae.
huo mi urimbukeni wako! hizo mada za juu wadau tulikuwa tunawekana sawa tu! kwani hatujui kuwa mwenye gari anao uwezo kwa ku-meinteini????
 
hapa kwa kuongezea kuhusu consuption ya mafuta na mass ya gari inabidi tuwe waangalifu sana, kidogo ninakuwa na wasiwasi na mawazo ya brue ray na sikonge, ni kweli ukubwa wa gari ndio ukubwa wa injini, lakini sio fuel consuption, <?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com:eek:ffice:eek:ffice" /><o:p></o:p>
kuna mfano wa hizi Landlover 110, kuna toleo mbili za hizi 110, moja ni 4cylinder na nyingine ni V8 (V engine type with 8cylinder), sasa ukiangalia zote zina almost same size na same mass, lakini hiyo ya V8 inabugia mafuta kuliko kitu chochote, kwa hiyo kunywa mafuta sio sana mass ya gari bali ni mode ya injini, <o:p></o:p>
nadhani hata hapo mjini mara nyingi magari ya 6cylinder watu wanayakimbia kwa sababu ya fuel consuption japo yapo sawa na yenye 4cylinder in term of shape na mass
na mimi ninauhakika kabisa zipo gari ndogo (especially American cars) zinakula mafuta sawa na mabasi makubwa yenye uzito mkubwa<o:p></o:p>

Nionyeshe wapi nimesema ukubwa wa gari ndiyo ukubwa wa engine. Hapa tuna comprehension issue au vipi?

Unaweza kuwa na gari kubwa yenye engine ndogo na gari ndogo yenye engine kubwa.

Huwezi kucompare vitu viwili tofauti, apples to oranges.Kama issue ni kuangalia kama mass ina effect katika fuel consumption, then experiment ya kuangalia hilo itafanywa kwa kutumia magari mawili yenye uzito tofauti na engine sawa.Ukicompare gari mbili zenye uzito tofauti na engine tofauti utakuwa umechanganya madawa, kwani hutajua tofauti ya fuel consumption imetokana na uzito tofauti au engine tofauti.Ndiyo maana experiments hufanywa under "standard temperature and pressure" huwezi kufanya experiment tofauti katika temperatures tofauti na pressures tofauti halafu ukacompare results kama vile zote zitakuwa sawa. Hata watu wa the so called "dismal science" wanajua kwamba kuna kitu kinaitwa "ceteris paribus".

Kwa hiyo kama unataka kuangalia kama mass ina effect katika fuel consumption, unatakiwa utumie magari mawili yenye engine sawa na mass tofauti.

Watu wanashindwa kuelewa kwamba hili brouhaha largely limetokana na statement iliyopinda ya Journal kwamba "weight has nothing to do with fuel consumption" kama kuna mtu anaweza kumuunga mkono katika hilo aangalie mtiririko juu na kama ana ubishi aulete hapa.

Mimi sikatai kwamba engine design ina effect kwenye fuel consumption, I know more about physics than required to figure that out.Ninachokataa ni hii statement kwamba "mass/ weight has nothing to do with fuel consumption". It is simply misguided and responsible.

Weight/ mass has everything to do with fuel consumption, and any and every innovation towards better fuel consumption must keep this in mind. I have provided more than enough evidence above.
 
hapa kwa kuongezea kuhusu consuption ya mafuta na mass ya gari inabidi tuwe waangalifu sana, kidogo ninakuwa na wasiwasi na mawazo ya brue ray na sikonge, ni kweli ukubwa wa gari ndio ukubwa wa injini, lakini sio fuel consuption, ffice:eek:ffice" /><O:p></O:p>
kuna mfano wa hizi Landlover 110, kuna toleo mbili za hizi 110, moja ni 4cylinder na nyingine ni V8 (V engine type with 8cylinder), sasa ukiangalia zote zina almost same size na same mass, lakini hiyo ya V8 inabugia mafuta kuliko kitu chochote, kwa hiyo kunywa mafuta sio sana mass ya gari bali ni mode ya injini, <O:p></O:p>
nadhani hata hapo mjini mara nyingi magari ya 6cylinder watu wanayakimbia kwa sababu ya fuel consuption japo yapo sawa na yenye 4cylinder in term of shape na mass
na mimi ninauhakika kabisa zipo gari ndogo (especially American cars) zinakula mafuta sawa na mabasi makubwa yenye uzito mkubwa<O:p></O:p>

Mkuu,
Kwa haraka haraka ni kwamba, kama ungelikuwa umenisoma na kupata MSINGI wa haya mambo, ungeligundua kuwa kinachosababisha UKUBWA engine ya gari na hapohapo ulaji wake mafuta ni POWER. Power ni function inayotegemea vitu viwili: SPEED AND MASS. Vingine vyote vinakuwa kama CONSTANT. Na kama kuna vitu wanafanya ili kuongeza POWER basi ni kuongeza PRSSURE wakati wa kuchoma mafuta ambayo pia huongeza POWER. Ndiyo maana WATUNDU kwenye street Races, hutumia mitungi ya GAS ili kuongeza nguvu ya Pressure kwenye engine ila mara nyingi wanauwa ENGINE (tuning).

Wingi wa piston unategemea na speed ya gari. Kwa taarifa ENGINE ya piston mbili wanasema ina NGUVU (Power) kubwa kupita ya piston 4. Ila kama ukianza kwenda speed kubwa, PISTON nyingi zinahitajika kwa sababu hapa inahitajika sasa SPEED na si NGUVU ya kuliondoa gari. Kumbuka imesemwa kuwa kama gari limesimama, kuliondoa ndiyo huwa kazi sana na likishaondoka ujuwe limeondoka, nguvu ya kuliendesha inaanza kupungua maana linabaki Kinetic Energyna MASS hapa kama function ya POWER inakuwa imeshamalizwa. Sasa tukitaka gari liende 350km/hr inabidi revolution ya ENGINE per minute iongezeke na kuwa kuwa sana:

(Torque x Engine speed) / 5,252 = Horsepower

Ukitaka maelezo zaidi soma hapa chini:
The two-stroke engine was popular throughout most of the 20th century in motorcycles, small enginized devices such as chainsaws and outboard motors and some cars. This was due to their simple design (and resulting low cost) and higher power-to-weight ratios. Most designs used total-loss lubrication, with the oil being burnt in the combustion chamber, causing visible and other pollution. This is the major reason for two-stroke engines being replaced with four-stroke engines in most applications.

Increasing power:
The first half of the twentieth century saw a trend to increasing engine power, particularly in the American models. Design changes incorporated all known methods of raising engine capacity, including increasing the pressure in the cylinders to improve efficiency, increasing the size of the engine, and increasing the speed at which power is generated. The higher forces and pressures created by these changes created engine vibration and size problems that led to stiffer, more compact engines with V and opposed cylinder layouts replacing longer straight-line arrangements.
 
Nionyeshe wapi nimesema ukubwa wa gari ndiyo ukubwa wa engine. Hapa tuna comprehension issue au vipi?

Unaweza kuwa na gari kubwa yenye engine ndogo na gari ndogo yenye engine kubwa.

Huwezi kucompare vitu viwili tofauti, apples to oranges.Kama issue ni kuangalia kama mass ina effect katika fuel consumption, then experiment ya kuangalia hilo itafanywa kwa kutumia magari mawili yenye uzito tofauti na engine sawa.Ukicompare gari mbili zenye uzito tofauti na engine tofauti utakuwa umechanganya madawa, kwani hutajua tofauti ya fuel consumption imetokana na uzito tofauti au engine tofauti.Ndiyo maana experiments hufanywa under "standard temperature and pressure" huwezi kufanya experiment tofauti katika temperatures tofauti na pressures tofauti halafu ukacompare results kama vile zote zitakuwa sawa. Hata watu wa the so called "dismal science" wanajua kwamba kuna kitu kinaitwa "ceteris paribus".

Kwa hiyo kama unataka kuangalia kama mass ina effect katika fuel consumption, unatakiwa utumie magari mawili yenye engine sawa na mass tofauti.

Watu wanashindwa kuelewa kwamba hili brouhaha largely limetokana na statement iliyopinda ya Journal kwamba "weight has nothing to do with fuel consumption" kama kuna mtu anaweza kumuunga mkono katika hilo aangalie mtiririko juu na kama ana ubishi aulete hapa.

Mimi sikatai kwamba engine design ina effect kwenye fuel consumption, I know more about physics than required to figure that out.Ninachokataa ni hii statement kwamba "mass/ weight has nothing to do with fuel consumption". It is simply misguided and responsible.

Weight/ mass has everything to do with fuel consumption, and any and every innovation towards better fuel consumption must keep this in mind. I have provided more than enough evidence above.
hey hey I beg you to leave me out of this! Im NOT interested in this matter anymore! Im not your type! Sorry!

Note: For your sake, 'mass has to do with everything'
 
Mkuu,
Kwa haraka haraka ni kwamba, kama ungelikuwa umenisoma na kupata MSINGI wa haya mambo, ungeligundua kuwa kinachosababisha UKUBWA engine ya gari na hapohapo ULAJI MAFUTA wake ni POWER. Power ni function inayotegemea vitu viwili: SPEED AND MASS. Vingine vyote vinakuwa kama CONSTANT.
power is a rate of doing work. that means,

power = workdone/time

we know

work = force x perpendicular distance

therefore

power = (force x perpendicular distance)/time

So, here we go;

In case of automobiles; can you tell me what is the perpendicular distance? what is this force being mentioned? how does time affect the engine power?
 
power is a rate of doing work. that means,

power = workdone/time

we know

work = force x perpendicular distance

therefore

power = (force x perpendicular distance)/time

So, here we go;

In case of automobiles; can you tell me what is the perpendicular distance? what is this force being mentioned? how does time affect the engine power?

Mkuu,
Nilikupa WARNING kuwa usikariri masomo ya Engineering ila jaribu kuelewa. Wewe naona bado unarudi kulekule kwenye KUKARIRI.

Soma hapa chini:

The joule, which is the SI unit for energy or work, is dimensionally equivalent to a N m, but this unit is not used for torque. Energy and torque are entirely different concepts, so the practice of using different unit names for them helps avoid mistakes and misunderstandings. The dimensional equivalence of these units, of course, is not simply a coincidence: a torque of 1 N m applied through a full revolution will require an energy of exactly 2&#960; joules. Mathematically,
<DL><DD>
c873509a4725f5cc973a341db1c889f9.png
</DD></DL>where E is the energy, &#964; is magnitude of the torque, and &#952; is the angle moved (in radians).

Unapozungumzia ENGINE, tunaacha kutumia neno WORK na kuanza kutumia neno ENERGY. Na tukienda ndani zaidi tunaacha kutumie pia ENERGY kwa sababu tuna deal na round movement, tunatumia neno TORQUE. Kama ungelikuwa unasoma nini wenzio wanaandika, hilo nimeliandika sijui mara ngapi.

Kutoka kwenye TORQUE ndiyo tunapata HORSEPOWER.

Power (hp) = Torque (ft-lb) * RPM / 5252. Note that power is also force * velocity, specifically:
<CENTER>Power (hp) = Force (lb) * Velocity (MPH) / 374
</CENTER>That's net horsepower, which is engine power minus losses like transmission and tire friction. The force is the sum of the longitudinal forces at the contact patches of the two driven tires.

Can you tell me what is the perpendicular distance?
Swali zuri. Nakurudisha kwenye ile video. Angalia jinsi sehemu anayo-aply force uone kama tairi litazunguka au laa ingawa inakuwa perpendicula. Utagundua kwamba it's only perpendicular to the PIVOT or AXIS ndiyo utaweza kuzungusha tairi. Ndiyo utamu wa kuelewa mambo kuliko kukariri.
[ame="http://www.5min.com/Video/What-is-Torque-174069119"]http://www.5min.com/Video/What-is-Torque-174069119[/ame]
 
hujajibu hata swali moja mkuuu! nazungumzia 'engine' we unanileta katika 'baiskeli' kha! nidadavulie 'engine' na sio vinginevyo mkuu! kwani kwenye engine kuna nini? kitu gani kinafanyika mpaka tunapata mjongeo?
 
hujajibu hata swali moja mkuuu! nazungumzia 'engine' we unanileta katika 'baiskeli' kha! nidadavulie 'engine' na sio vinginevyo mkuu! kwani kwenye engine kuna nini? kitu gani kinafanyika mpaka tunapata mjongeo?

Mkuu swali lako ni la limekaa kama hii kesi MUSEVEN.
"I will not accept anyone dictating to me that i should drink vapour bacause it is water, scientifically speking."

Nimekuandikia kila kitu hapo ukurasa wa nyuma. Kama huelewi, nenda kwa MWALIMU wako wa ENGINE za gari na kama yeye si Dr. Makongoro Mahanga, basi atakuelezea vizuri. Kama Mahanga ni wewe mwenyewe basi pole sana, ndiyo matatizo ya PhD feki.
 
Niliandika hii, sijui kama uliisoma:

Quote:
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=6 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD class=alt2 style="BORDER-RIGHT: 1px inset; BORDER-TOP: 1px inset; BORDER-LEFT: 1px inset; BORDER-BOTTOM: 1px inset">Engine Torque
Torque is turning effort, and in an automotive engine, this is produced by the pressure from the crankshaft on the pistons. Engine torque is relatively low at idle speeds, but increases at a high rate as engine speed increases. Torque is maintained at a high level while an engine is running, but decreases once engine speeds reach a certain point. </TD></TR></TBODY></TABLE>
Hapa tunaona kwamba kumbe TORQUE inabadilika. Sasa kama mtu unanunua gari, unaangalia torque ipi?


Quote:
<TABLE cellSpacing=0 cellPadding=6 width="100%" border=0><TBODY><TR><TD class=alt2 style="BORDER-RIGHT: 1px inset; BORDER-TOP: 1px inset; BORDER-LEFT: 1px inset; BORDER-BOTTOM: 1px inset">
Use this equation to determine the torque created by a hydraulic motor with respect to the motors displacement.​
T = (PSI x D)/ (24 x 3.14157)​


Where:
T is torque in foot - lbs

D is displacement in cubic inches per revolution
PSI is pressure difference across motor​
</TD></TR></TBODY></TABLE>
Hapa sina uhakika sana. Kama ni kweli, napata uhusiano wa Pressure na Torque. Kwa maana hiyo, kama tuna torque kwa kuangalia uzito wa gari na mzigo wake plus other factors like friction, matairi hayana upepo nk tunapata ni FORCE kubwa kiasi gani ita-opose crankshaft movement. Kwa kuwa na hiyo force na data nyingine, twaweza kupata Energy required and those torque. Kwa kuwa na Torque, tunapata ni PRESSURE gani itatakiwa kusukuma Pistons (crankshaft). Sasa ukishapata Pressure, inabaki kupata Temperature (i think is almost constant) na at last inabaki kupata VOLUME OF CYLINDERS.


Kwa kutumia GAS LAW :


be88d04195d791d263a8ea664b67f4a3.png
, mchezo unakuwa umekwisha kwani tutapata VOLUME. Kama niko sawa, basi MASS ndiyo chanzo cha calculation zote.


Hapo nyuma niliweka formula ya HORSEPOWER ambayo wanatumia Torque kuipata. Hivyo tunaponunua gari si kweli tunauliza Torque ila tunataka kufahamu HP, number of Valve, CC of the car na Max speed. Kwa wanaotaka kushindana, wanaangalia pia inafika 100km/hr baada ya sekunde ngapi. Mengine labda inakuwa ni inatoa CO2 kubwa kiasi gani na vingine vinakuwa kama gari lenyewe na si ENGINE.​
 
hey hey I beg you to leave me out of this! Im NOT interested in this matter anymore! Im not your type! Sorry!

Note: For your sake, 'mass has to do with everything'

Sasa kama huko interested in this matter anymore mbona un arudi na kujibu hoja kwenye hii thread?

Acha sensitivity za kitoto, ukichemsha utaambiwa ukweli, kusema "weight has nothing to do with fuel consumption" ni kuanika kutoelewa kwako physics.Ukileta utumbo kama huu ni lazima tuseme mpaka utakapobadilisha, to the best of my knowledge hujabadilisha utumbo huu, kwa hiyo mimi namwaga mawe tu.

Kama hutaki either badilisha au acha kufungua hii thread.

Na kusema "mass has to do with everything" is as misguided as kusema "weight has nothing to do with fuel consumption"
 
sikonge

sijaridhika kabisa na maelezo yako kwani unakejeli eti sijui Dr. makongoro! sasa wewe mimi nauliza hivyo vitu katika engine ya automobiles we unaniletea habari za 'motor', unajua motor nini? motor si inatumia 'engine' pia? acha kuzunguka mbuyu! you gave me the relationship PV = nRT, well done! So, in automobiles what is the relationship between MASS, torque, engine speed, to the PV =nRT? does the pressure and volumes of automobiles varries with time? what happens if the temperature inside the engine varries or remain constant? How does the engine area affects the PV relationship?
 
sikonge

sijaridhika kabisa na maelezo yako kwani unakejeli eti sijui Dr. makongoro! sasa wewe mimi nauliza hivyo vitu katika engine ya automobiles we unaniletea habari za 'motor', unajua motor nini? motor si inatumia 'engine' pia? acha kuzunguka mbuyu! you gave me the relationship PV = nRT, well done! So, in automobiles what is the relationship between MASS, torque, engine speed, to the PV =nRT? does the pressure and volumes of automobiles varries with time? what happens if the temperature inside the engine varries or remain constant? How does the engine area affects the PV relationship?

Wewe nawe?

Hebu niambie kitu kimoja: Train zinazotembea Tanzania, Engine zake zina-produce umeme au moja kwa moja TORQUE?

Kwa maana nyingine kinachofanya trains za Tanzania zitembee ni ENGINE kuzungusha matairi via SHAFT au locomotive produce electric power to rotate MOTORS ambazo huzungusha matairi?

Juu la swali lako hapo juu:

Mie siye Mhandisi wa magari ila Fundi Mchundo wa Ujenzi. Sasa ukiniuliza uhusiano wa FORCE na PRESSURE, nitakuambia kuwa Pressure = Force/Area. Kama tuna volume ya Engines katika CC, tunaweza kupata pia AREA. Nafahamu kuwa katika formula kuna factors mbalimbali inabidi wazihesabu ila basically waweza kusema UHUSIANO UPO. Kama ambavyo umekataa ile formula kuwa ni ya MOTOR, hata ya ENGINE itakuwa almost hivyo hivyo kwani basically ndivyo ilivyo.
 
Unfortunately, *engine* torque does not tell you the full story. What matters is the torque *delivered to the tires, including the effects of the transmission. We all know a car does not accelerate as hard in second gear at peak torque RPM as it does in first gear. The transmission amplifies or multiplies the torque coming from the engine by a factor equal to the gear ratio. So to determine how much the car is accelerating at a particular instant, you have to know both the torque output of the engine as well as the gear ratio.
 
Wewe nawe?

Hebu niambie kitu kimoja: Train zinazotembea Tanzania, Engine zake zina-produce umeme au moja kwa moja TORQUE?

Kwa maana nyingine kinachofanya trains za Tanzania zitembee ni ENGINE kuzungusha matairi via SHAFT au locomotive produce electric power to rotate MOTORS ambazo huzungusha matairi?

Juu la swali lako hapo juu:

Mie siye Mhandisi wa magari ila Fundi Mchundo wa Ujenzi. Sasa ukiniuliza uhusiano wa FORCE na PRESSURE, nitakuambia kuwa Pressure = Force/Area. Kama tuna volume ya Engines katika CC, tunaweza kupata pia AREA. Nafahamu kuwa katika formula kuna factors mbalimbali inabidi wazihesabu ila basically waweza kusema UHUSIANO UPO. Kama ambavyo umekataa ile formula kuwa ni ya MOTOR, hata ya ENGINE itakuwa almost hivyo hivyo kwani basically ndivyo ilivyo.

kuhusu ma-train ya bongo sijui kwakweli! kwani mie sio wa 'reli ya kati au tazara', lkn kama hayatumii steam engines sijui, otherwise yatakuwa yanatumia diesel engines. all apply the same principle! the difference is steam and diesel!

bora umekubali kwamba wewe ni fundi ujenzi! ndio maana hujui hata volume ya engine ni ipi! siajabu utasema volume ya engine ni area x distance haha! anyway, nimekufurahia sikonge kwani unapenda kujifunza, big up sana!
 
Unfortunately, *engine* torque does not tell you the full story. What matters is the torque *delivered to the tires, including the effects of the transmission. We all know a car does not accelerate as hard in second gear at peak torque RPM as it does in first gear. The transmission amplifies or multiplies the torque coming from the engine by a factor equal to the gear ratio. So to determine how much the car is accelerating at a particular instant, you have to know both the torque output of the engine as well as the gear ratio.

Yes I agree, and power is essentially the product of the RPM and the torque. At first, decrease in torque is small and is not enough to offset the increasing RPM, so the overall product still increases. Eventually the decrease in torque becomes large enough that it outweighs the increase in RPM and we see the power start to drop. Because of this, the power peak will always be after the torque peak.

So why do these power and torque figures that are quoted in technical specifications matter?


Torque is the rotational version of force. The more torque an engine produces, the more force it can exert at the rim of a flywheel of a given radius.



Power is force multiplied by speed. The more power an engine generates, the more work it can do in a given time.

Qn: how does transmission system affect the engine output power? How much power is lost during transmission?
 
Basics first : Maji, Umeme, elimu bora, kuacha ufisadi... t
acha kukurupuka na basics zako za maji, umeme, elimu bora na ufisadi wako! changia mada hiyo hapo juu! fuatilia kuanzia mwanzoni! usiharibu mtiririko kama hujui nini kinaongelewa hapa! hii mada inawenyewe! na wenyewe wanajijua!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom