Bongo HAKUNAGA Maisha

kweli bongo tunaganga njaa, sidhani hilo genge vilivyomo hapo juu vinazidi hata Tsh 5000/=
 
Mzee amekata tamaa utafikiri hana uwezo wa kuleta mabadiliko.
 
Hivi maisha ni nini?............Maisha yako vipi na yanapatikana wapi?.

Tusije tukawa tunadanganywa na akili na hisia zetu kumbe maisha ni vyovyote vile, yako sawa na yanapatikana popote pale.
 
Sasa ulogwe.......umwambie huyo mzee unataka kununua bidhaa zake zote......mbona utamfehemu........

Ununue zote afu yeye auze nini!!?? una utani wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…