Sasa wewe upo wapi? Maana me nilisema Vann yupo mbali ukaleta story ya style ya uimbaji. Wewe sema nani zaidi unless mleta mada awe specific kuwa battle hiyo ni katika kipengele gani? Kama ni uandishi, style, sauti, mashabiki, n.k ili twende nae sambambaHapana chief siko huko na kuna baadhi ya nyimbo zake nazipenda sana tu ila haiondoi fact ya mimi kuona anaimba hivyo..huwez fananisha na uimbaji wa Marioo.style za ray unaweza badilisha maneno tu ukaweka ya dini bila kubadil chochote kingine ikageuka kuwa Praise team ya assemblies church
Ya mond yametokea wapi humu?Mondi vp hajawai copy au sio
Ana copy sikatai ila ana namna yake ya uimbaji kiasi kwamba ukimsikia tu hata kwenye radio utafahamu kuwa ni diamond, harmonize kipindi ndo anatoka na nyimbo yake ya aiyola kabla ya kuona video binafsi nilidhani ni diamond .. kwa kifupi harmonize hana identity ya mziki wake mwenyewe ..Mondi vp hajawai copy au sio
Sijaona talent kwa marioo, bado sana. Tena sana. Sishangai bongo kuwa na hizi battle za kishamba. Msanii mkubwa kulinganishwa na wadogo ili kumshushA. Wakati flani Aslay aliwahi linganishwa na Diamond, walipochemka wakaanza Marioo napo wakachemka. Ikabidi waendelee na Kiba ambaye ndio kabisa alichemkaIshu sio kitoto cha juzi..ishu ni talent na product nzuri..Usipaniki.
Sisi tunasema Marioo anajua kuliko Rayvanny...yaani ana muziki mzuri.Sijaona talent kwa marioo, bado sana. Tena sana. Sishangai bongo kuwa na hizi battle za kishamba. Msanii mkubwa kulinganishwa na wadogo ili kumshushA. Wakati flani Aslay aliwahi linganishwa na Diamond, walipochemka wakaanza Marioo napo wakachemka. Ikabidi waendelee na Kiba ambaye ndio kabisa alichemka
FreshSisi tunasema Marioo anajua kuliko Rayvanny...yaani ana muziki mzuri.
Wewe baki na Rayvanny..it's simple.
Jicho gani ?? ..Marioo Yuko njema,Kuna mmoja hapo kazi yake hua Ni kuimba huku amelegeza macho tu.Nadhani jicho lake halitakua Salama.
Mario zaidSasa wewe upo wapi? Maana me nilisema Vann yupo mbali ukaleta story ya style ya uimbaji. Wewe sema nani zaidi unless mleta mada awe specific kuwa battle hiyo ni katika kipengele gani? Kama ni uandishi, style, sauti, mashabiki, n.k ili twende nae sambamba
Jicho gani ?? ..
Acha wajifurahishe...ila Marioo bado underground akue kwanza ndio tumpime.subiri vichambo kutoka kwa sinza pazuri
Mtoa mada unaanzaje kumfananisha marioo na hiyo bonge ya hapo usafini kila siku inarembua rembua?Now kuna Battle ya hawa Wasanii kati ya Rayvanny VS Marioo
Let discuss here do they deserve to be in Bongo Flavor Battle
Jicho hili hili mkuu? Au lile jingine?Marioo Yuko njema,Kuna mmoja hapo kazi yake hua Ni kuimba huku amelegeza macho tu.Nadhani jicho lake halitakua Salama.
Angebebwa kama akina Ray, Mario angekuwa tishio kubwa kwa Dai vilevile
Uzuri hata chawa wenyewe moyoni madude ya marioo wanacheza..Tuache utani aisee..Marioo anajua.
Kula like kwanza.Yule Dogo mario kiukweli anajua maana hata ukisikiliza amapiano alizoimba yaani ile mama amina na hii beer tamu unamuelewa anaimba nini sio beat za kelele kama za akina harmo, baba levo au diamond Dogo anajitahidi sana ningependa watanzania wasupport watu kama mario ili game ibalance mambo ya uteam ndio yaliua muziki wa congo kutoka kua muziki wa bara zima hadi umebaki kua muziki wao peke yao