James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,341
Safi.......
Hahahaha, hakuna taabu mkuu,
Nilijua kamchapa makonde mitaani mkuu.Hahahaha, hakuna taabu mkuu,
Bondia wetu ajitahidi sana kujifunza kiingereza la sivyo Mkalimani Wa huyu bondia wetu atafanya wote waonekane wahuni tu. Haiwezekani mkalimani awe anatafsiri vitu ambavyo bosi wake hajasema
View attachment 861793
Huu udaku kabisaa"Uandishi uchwara"
Ulipaswa kuweka neno Bondia.
Kwa staili yako ni kama unaandikia gazeti la Kiu na Ijumaa wikienda
nimecheka sana aiseeeBondia wetu ajitahidi sana kujifunza kiingereza la sivyo Mkalimani Wa huyu bondia wetu atafanya wote waonekane wahuni tu. Haiwezekani mkalimani awe anatafsiri vitu ambavyo bosi wake hajasema
View attachment 861793
Tz vichekesho kila nyanja. Yaani kuna vichekesho vya kisiasa,kijamii,kiuchumi na kiutamaduninimecheka sana aiseee
Huyo ndio mtanzania wa kwanza kuwahi kufanya hivyo.MTAZANIA AWALIZA WAINGEREZA
wacha upumbavu kuna wtanzania kibao wamewahi kushikilia mataji ya Dunia!Huyo ndio mtanzania wa kwanza kuwahi kufanya hivyo.
Samahani huyu kwasababu ameshinda ni kutoka East Africa, ile angepigwa angekua mtanzaniaHuyo mtanzania ni shujaa. Hana uwoga uwoga kama ya wengine wao humu jf