Bongo hapa hapa? Na kataa mkuu, sisi wa Tanzania hatuna jeuri hiyo!!Tunakokwenda siyo. Maelfu ya wanafunzi wamekosa mikopo, wako mitaani na bila shaka watalazimika kuandamana kudai haki yao ya msingi, yaani Elimu. Polisi watatumia nguvu nyingi kuwanyamazisha, ila haitawezekana, kwa maana kwamba wananchi nao watawaunga mkono. Na hili swala litakuwa ni tatizo ambalo halitazimika kamwe.
Nadhani serikali iangalie hili swala la mikopo kwa wananfunzi kwa jicho la pili. Hili ni bomu na tishio kubwa sana kwa huu utawala
Ajira ishakuwa hewa sasa.Ajira pia. Na ndio maana mswada wa habari ukapitiswa haraka. Tanzania itabakia ile ile miaka nenda rudi
Kama wewe ni maskini, shule ya msingi na sekondari nani alikukopesha?Kama mkopo sio haki ya mwananchi Maskini basi hata Miundombinu sio haki.
Kama mkopo ni haki yako nakushauri uende bank ukakopeKama mkopo sio haki ya mwananchi Maskini basi hata Miundombinu sio haki.
Mawazo ya utegemezi hayo, unawaza ajira badala ya kufikiria kuajiri? Yaani unasoma ili uajiriwe?Ajira ishakuwa hewa sasa.
Sijui wanaona shida gani kusema kama hawana mpango wa kuajiri.
Hivi wewe ni mwanafunzi kweli? Hakika huhitaji kukopeshwa.We ndo hufahamu ulichoandika. Mwanafunzi anaekopeshwa kusoma ana mshahara? Wee lazima ccm.
Ulitaka usomee chini ya mwembe? Halafu hela ya madarasa ukopeshwe?Kama mkopo sio haki ya mwananchi Maskini basi hata Miundombinu sio haki.
Usituzingua na habari za USA, unataka kutuambia wanafunzi wote wa USA wanakopeswa?Wewe ni mmoja kati ya wajinga maarufu duniani. Nchi zilizoendelea kama USA zinakopesha wanafunzi wa vyuo vikuu nchini mwao wewe unataka wazazi wa Tanzania wasomeshe watoto kwa gharama zao wenyewe? Wewe ni mpimbavu wa kwanza duniani.
Watoto wetu wasomeshwe kwa kodi zetu.Kama wewe ni maskini, shule ya msingi na sekondari nani alikukopesha?
Ulitaka usomee chini ya mwembe? Halafu hela ya madarasa ukopeshwe?
Umeshasema nchi zilizoendelea.sio kila kinachofanyika marekani tuigeWewe ni mmoja kati ya wajinga maarufu duniani. Nchi zilizoendelea kama USA zinakopesha wanafunzi wa vyuo vikuu nchini mwao wewe unataka wazazi wa Tanzania wasomeshe watoto kwa gharama zao wenyewe? Wewe ni mpumba.u wa kwanza duniani.
Serikali ya watu wenye uwezo mdogo hutetewa na watu wliovurugwa kama wewe. Haki ya kusomesha watoto wa nchi ni ya Serikali kwani tunaipa kodi ili izingatie vipaumbele; na kipaumbele cha kwanza ni watoto wetu kupata elimu, perod!! Kama inadhani tuliichagua kununua Bombadier, basi tutakuwa tayari kuwa barabarani tukiungana na watoto wetu kuibana mbavu hadi ijitambue.Kukojoa ukojoe wewe,utegemee mwanao asomeshwe kwa mkopo wa serikali,watapata wenye vigezo kwa 100%,wengine kakopeni benki msomeshe wanenu,mmebweteka na kuona kama vile lazima,ile ilikua juhudi ya serikali kuingiza wanafunzi kwa wingi.Sasa kuna UDOM,MUHAS,UCLAS na UDSM vinatosha kabisa kufikia malengo ya serikali
Yaani kwa hoja hizi ndio mnajiaminisha kuwa serikali itatikisika kwa suala la mikopo? Hizi kelele zote ni njaa ya kushika pesa na wala si kusoma.Watoto wetu wasomeshwe kwa kodi zetu.
Serikali ina pesa nyingi sana.Kama inashindwa ipige Harambee kama ilivyofanya kwenye maafa ya Kagera.
Katika ishu ya elimu kukopesha ni utaratibu ili kufanya re - cycling ya fedha inayotumika, si hiyari ya anayebeba mfuko kutoa au kutotoa ikiwa mwenye mali kasema toa!!!Af swala la kukopeshwa co lzm MKUU.... mkopeshaji mwenyewe ndio anaamua akupe/asikupe..OVA
kodi unayolipa sio kwa ajili ya kukopesha,hilo ni jukumu lako na mkeoSerikali ya watu wenye uwezo mdogo hutetewa na watu wliovurugwa kama wewe. Haki ya kusomesha watoto wa nchi ni ya Serikali kwani tunaipa kodi ili izingatie vipaumbele; na kipaumbele cha kwanza ni watoto wetu kupata elimu, perod!! Kama inadhani tuliichagua kununua Bombadier, basi tutakuwa tayari kuwa barabarani tukiungana na watoto wetu kuibana mbavu hadi ijitambue.