jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Taarifa za awali zilizopatikana kwa msaada wa umoja wa afrika(AU) zinasema kuwa bomu lililorushwa kwenye viwanja vya soweto limetengenezwa kiwandani huko jamhuri ya watu wa china.
Vipi kuhusu lile bomu lililotumika pale Olasiti limetokea nchi gani?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Vipi kuhusu lile bomu lililotumika pale Olasiti limetokea nchi gani?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA