Nlikua najiuliza km kupata 50kg za U-235 kunahitaji tani zisizopungua 100 na kuchuja tani 1 so chini ya mwaka 1,so ni zaidi ya miaka 100 na ushee itatumika ktk uchujaji wa hzo tani 100..
Ila nimeelewa zaidi MTU aliyesema kwmb kutokana na maendeleo yaliyopo hvi ss kuna njia za kisasa zaiDi ktk kufanikisha hlo suala
Issue ya Genetic mutation itatokea iwapo km hzo radiations zitaingia ktk seli zinazotumika ktk utengenezaji wa mtoto(Sperm,Egg) na hivyo kutakuepo na mabadiliko ya kudumu ya DNA ambazo hubeba taarifa muhimu za kiumbe husika,Ikumbukwe DNA Zipo ktk kiini cha seli na Gene mutation hutokea kwa kurithi ama kulingana na hali ya mazingira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.