Bomu la ajira

Bomu la ajira

Kweli chief umesema kweli. Jiwe kapoteza Vision statement ya mahali anapopeleka taifa, watu hua sielewi wanasifia nini hii serikali? Na sehem kubwa ya watu wanaosifia utendaji kazi wa jiwe ni wazee ambao elimu hawana tofauti na ya kutambua wajukuu zake. Ila kundi la watu waliosoma wanaelewa jamaa kaleta uozo nchini.

Ningekua mkuu wa jeshi mimi, ningepindua hii nchi mana naona ududu mwingi. Ningepindua nchi. Ila ndy hivy Uwezo sina nabaki tu ku-comment huku JF. Sema ndy hivyo, watu wanajiangalia kwanza
Jiwe hana maono ya wapi nchi anataka kuipeleka, sasa ukimwambia afanye kama watangulizi ni sawa na kumchoma kwenye kidonda.

Unafikiri atakuwa anazungumzia nini ikiwa uchumi umemshinda, tatizo la ajira kalitengeneza kubwa zaidi baada tu ya kuingia madarakani.

Jiwe hata kama akifanya hivyo atakuwa hana lolote jipya la kuwaeleza Watanzania zaidi ya stori zile zile za kila siku ndege, sgr, tuibiwa sana, nchi tajiri hii, wapo watu wanakwamisha serikali yangu (Tundu Lissu) n.k hapo amekuwa amemaliza hotuba, na akiendelea zaidi ya hapo ni kutukana Watanzania.
 
Kweli chief umesema kweli. Jiwe kapoteza Vision statement ya mahali anapopeleka taifa, watu hua sielewi wanasifia nini hii serikali? Na sehem kubwa ya watu wanaosifia utendaji kazi wa jiwe ni wazee ambao elimu hawana tofauti na ya kutambua wajukuu zake. Ila kundi la watu waliosoma wanaelewa jamaa kaleta uozo nchini.

Ningekua mkuu wa jeshi mimi, ningepindua hii nchi mana naona ududu mwingi. Ningepindua nchi. Ila ndy hivy Uwezo sina nabaki tu ku-comment huku JF. Sema ndy hivyo, watu wanajiangalia kwanza
Hahahaha ungekuwa Mkuu wa Majeshi ungemuondoa jiwe et!

Lakini utamuondoaje aliyekupa hicho cheo na unajua tena sisi binadamu huwa tuna asili ya kulipa fadhila kwa aliyekupandisha juu
 
Basi jiwe weka mazingira mazuri ya PPP mbona hutaki sekta binafsi itamalaki hatimaye kuwe na ajira?umeumbwa na roho ya uharibifu he hujioni kama wewe ndo tatizo?ukimaliza miaka kumi bila kubadilika hakika wananchi wengi watakua wamerudi nyuma zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Sipangiwi, ukinipangia ndio unaaribu kabisaa
 
Back
Top Bottom