Bomu la ajira

Bomu la ajira

Unatoa elimu Bure kuanzia darasa la kwanza mpaka form four...

Unatoa mkopo chuo kikuu miaka mitatu..

Unamwandaa kijana awe mwalimu na sio fani nyingine yeyote....

Kijana anamaliza degree hana kazi yupo mtaani unategemea akafanye kazi gani?.....

Si ni bora wangeandaliwa walimu wachache wanaoweza kuajiriwa kirahisi?.....

Tukiongea tunaambiwa wapiga dili hasa mtu kusoma kutoka darasa la kwanza mpaka chuo kikuu unafikiri anakuwa kapoteza kiasi gani cha pesa za serikali na za wazazi je izo pesa zinarudi vipi kama ni jobless?..

Tufike wakati tuwe na uchungu kwa vijana wanaosoma kwa shida kiukweli ni mateso ..

Serikali itoe ajira watu warudishe mikopo walipe kodi wengine wasome kama hatutoi ajira maana yake kuna muda utafika hata pesa ya kukopesha wanafunzi itakosa...

Serikali imetengeneza walimu walio mtaani 91,000 na mwezi wa saba wengine wanamaliza wewe unatoa ajira 4500 ambao hata 10% haifiki ..

Halafu wanafunzi hawana walimu uko shuleni wanakaa chini .

Walimu waliopo hawalipwi vizuri tuwe na uchungu jamani mambo haya ndio mambo ya msingi tuwe na hofu ya Mungu.

Akiba ya pesa tunaambiwa ipo si tuwape wadogo zetu ma watoto wetu kazi ?

Kodi sasa hivi si inalipwa kwa wakati sasa shida nini kuwapa kazi wadogo zetu na watoto wetu...?


Hata mkisema mimi sio mzalendo au mimi ni mpiga dili sawa tu nimeshazoea ila nitaongea ukweli mpaka naenda kaburini...

View attachment 1056404
Unataka kusema nini? Yaani kama hakuna kuajiriwa watoto wasisomeshwe?

Ndugu “education is liberation of your mind and information is opportunity “

Usingojee serikali ikusomeshe au kukupa kazi!
 
Tuweke record hao walimu 91elfu ni walio tuma maombi tu kwa kozi za Sanaa, hiyo haimaanishi kwamba MTAANI Kuna walimu 91elfu tu ambao hawana ajira
Unatoa elimu Bure kuanzia darasa la kwanza mpaka form four...

Unatoa mkopo chuo kikuu miaka mitatu..

Unamwandaa kijana awe mwalimu na sio fani nyingine yeyote....

Kijana anamaliza degree hana kazi yupo mtaani unategemea akafanye kazi gani?.....

Si ni bora wangeandaliwa walimu wachache wanaoweza kuajiriwa kirahisi?.....

Tukiongea tunaambiwa wapiga dili hasa mtu kusoma kutoka darasa la kwanza mpaka chuo kikuu unafikiri anakuwa kapoteza kiasi gani cha pesa za serikali na za wazazi je izo pesa zinarudi vipi kama ni jobless?..

Tufike wakati tuwe na uchungu kwa vijana wanaosoma kwa shida kiukweli ni mateso ..

Serikali itoe ajira watu warudishe mikopo walipe kodi wengine wasome kama hatutoi ajira maana yake kuna muda utafika hata pesa ya kukopesha wanafunzi itakosa...

Serikali imetengeneza walimu walio mtaani 91,000 na mwezi wa saba wengine wanamaliza wewe unatoa ajira 4500 ambao hata 10% haifiki ..

Halafu wanafunzi hawana walimu uko shuleni wanakaa chini .

Walimu waliopo hawalipwi vizuri tuwe na uchungu jamani mambo haya ndio mambo ya msingi tuwe na hofu ya Mungu.

Akiba ya pesa tunaambiwa ipo si tuwape wadogo zetu ma watoto wetu kazi ?

Kodi sasa hivi si inalipwa kwa wakati sasa shida nini kuwapa kazi wadogo zetu na watoto wetu...?


Hata mkisema mimi sio mzalendo au mimi ni mpiga dili sawa tu nimeshazoea ila nitaongea ukweli mpaka naenda kaburini...

View attachment 1056404
 
Unatoa elimu Bure kuanzia darasa la kwanza mpaka form four...

Unatoa mkopo chuo kikuu miaka mitatu..

Unamwandaa kijana awe mwalimu na sio fani nyingine yeyote....

Kijana anamaliza degree hana kazi yupo mtaani unategemea akafanye kazi gani?.....

Si ni bora wangeandaliwa walimu wachache wanaoweza kuajiriwa kirahisi?.....

Tukiongea tunaambiwa wapiga dili hasa mtu kusoma kutoka darasa la kwanza mpaka chuo kikuu unafikiri anakuwa kapoteza kiasi gani cha pesa za serikali na za wazazi je izo pesa zinarudi vipi kama ni jobless?..

Tufike wakati tuwe na uchungu kwa vijana wanaosoma kwa shida kiukweli ni mateso ..

Serikali itoe ajira watu warudishe mikopo walipe kodi wengine wasome kama hatutoi ajira maana yake kuna muda utafika hata pesa ya kukopesha wanafunzi itakosa...

Serikali imetengeneza walimu walio mtaani 91,000 na mwezi wa saba wengine wanamaliza wewe unatoa ajira 4500 ambao hata 10% haifiki ..

Halafu wanafunzi hawana walimu uko shuleni wanakaa chini .

Walimu waliopo hawalipwi vizuri tuwe na uchungu jamani mambo haya ndio mambo ya msingi tuwe na hofu ya Mungu.

Akiba ya pesa tunaambiwa ipo si tuwape wadogo zetu ma watoto wetu kazi ?

Kodi sasa hivi si inalipwa kwa wakati sasa shida nini kuwapa kazi wadogo zetu na watoto wetu...?


Hata mkisema mimi sio mzalendo au mimi ni mpiga dili sawa tu nimeshazoea ila nitaongea ukweli mpaka naenda kaburini...

View attachment 1056404
Pambaneni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo tu ndo nimeona JPM hamna kabisa aisee....yaan unakamua watu mpak machinga na mikopo juu ili ufanikishe miradi ambayo ni secondary na sio primary....hli la vijana kusota mtaa nalifahamu kabisa kuna vijana mtaani mpak wanatia huruma aisee..wamemaliza degree za ualimu wapo tuu na ni watoto wa maskini kwel kweli, bora hata sie tuliopata channel za harakat za mtaa na degree zetu za tourism....
Ifike kipindi tuache porojo na kiki za kijinga mtaani hali ni mbaya sana degree holder za fani hiyo ni kama wamepoteza dira kabisa na mtukufu haonyeshi kabisa kujari hii sio sawa kabisa kama ni hivyo TCU wafute bas hiyo kozi.
 
Wanajenga stigler goji na standard geji.....wakati kule Madimba kuna shule ina mwalimu 1.

John Stone ni chizi sana.

Sent using my Nokia Torch
 
Unatoa elimu Bure kuanzia darasa la kwanza mpaka form four...

Unatoa mkopo chuo kikuu miaka mitatu..

Unamwandaa kijana awe mwalimu na sio fani nyingine yeyote....

Kijana anamaliza degree hana kazi yupo mtaani unategemea akafanye kazi gani?.....

Si ni bora wangeandaliwa walimu wachache wanaoweza kuajiriwa kirahisi?.....

Tukiongea tunaambiwa wapiga dili hasa mtu kusoma kutoka darasa la kwanza mpaka chuo kikuu unafikiri anakuwa kapoteza kiasi gani cha pesa za serikali na za wazazi je izo pesa zinarudi vipi kama ni jobless?..

Tufike wakati tuwe na uchungu kwa vijana wanaosoma kwa shida kiukweli ni mateso ..

Serikali itoe ajira watu warudishe mikopo walipe kodi wengine wasome kama hatutoi ajira maana yake kuna muda utafika hata pesa ya kukopesha wanafunzi itakosa...

Serikali imetengeneza walimu walio mtaani 91,000 na mwezi wa saba wengine wanamaliza wewe unatoa ajira 4500 ambao hata 10% haifiki ..

Halafu wanafunzi hawana walimu uko shuleni wanakaa chini .

Walimu waliopo hawalipwi vizuri tuwe na uchungu jamani mambo haya ndio mambo ya msingi tuwe na hofu ya Mungu.

Akiba ya pesa tunaambiwa ipo si tuwape wadogo zetu ma watoto wetu kazi ?

Kodi sasa hivi si inalipwa kwa wakati sasa shida nini kuwapa kazi wadogo zetu na watoto wetu...?


Hata mkisema mimi sio mzalendo au mimi ni mpiga dili sawa tu nimeshazoea ila nitaongea ukweli mpaka naenda kaburini...

View attachment 1056404
Enzii za Mwalimu woteee.mnapata shule,ajira na tiba....na wote mmepitia JKT....akukuwa na Udini wala Ukabila🤣🤣.Leo hii Rwanda wanafuata Hazimio la Arusha...sisi tunabaguana kivyama.....kama chama chako kinakubalika na Watanganyika nini tatizo...mpaka utumie vijana waliopita CCP🤣🤣🤣
 
Unataka kusema nini? Yaani kama hakuna kuajiriwa watoto wasisomeshwe?

Ndugu “education is liberation of your mind and information is opportunity “

Usingojee serikali ikusomeshe au kukupa kazi!
Education is not matter b'se we have already, what is matter is kind of education we give them and conducive environment for our graduates to be employed or to employ themselves.
 
About 90% ya tuliopata elimu ya chuo kikuu tunafikiria kuajiriwa tu kwasababu elimu ya chuo kikuu, ukiondoa ualimu, ni kumuandaa mtu kuja kuwa afisa ambaye kazi yake ni ya ofisini sana pamoja na kupanga mipango na kisimamia/ kuwapangia kazi watu wa chini.
Kwahiyo tunapokosa ajira inakuwa tatizo kubwa sana.
Kwa mfano mtu aliyesoma finance, food science, microbiology, chemistry, geology n.k hawezi kujiajiri kutokana na zile opportunity zinazopatikana kwenye hizo areas kuhitaji mitaji mikubwa sana na hivyo anajikuta akishindwa kujiajiri katika fani aliyosomea.
Na kuna wengine wanadai kwamba tujiajiri kwenye shughuli kama kilimo, ufugaji na biashara, lakini mimi naona si sawa. Moja ya sababu ni kwamba ,watu wengi wanaofanya hizo shuguli ni watu ambao wana elimu ya form four, std 7 au hawana elimu kabisa. Sasa kulikuwa na ulazima gani wa mm kusoma hadi chuo kikuu na wakati kazi nitakayofanya haihitaji elimu yoyote. Pia lazima kuwe na mgawanyo wa kazi katika jamii, sasa kama mm niliwaacha wenzangu( walioishia lasaba na form four) wanachoma chips au wanafanya kazi yoyote, na mm baada ya kutoka chuo nakuja kufanya kazi ileile. Hapo nakuja kuwapunguzia kipato kwa kugombania wateja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuweke record hao walimu 91elfu ni walio tuma maombi tu kwa kozi za Sanaa, hiyo haimaanishi kwamba MTAANI Kuna walimu 91elfu tu ambao hawana ajira
Na bomu linakuja wanaomaliza mwaka ujao maana ni wengi sana. Kama udsm mwaka 2017 walichukua wanafunzi 14000 kwa mwaka wa kwanza, wakati mwaka 2015 walichukuliwa 5000+ .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipaumbele chețu ni kunuñua ndege cash
Basi jiwe weka mazingira mazuri ya PPP mbona hutaki sekta binafsi itamalaki hatimaye kuwe na ajira?umeumbwa na roho ya uharibifu he hujioni kama wewe ndo tatizo?ukimaliza miaka kumi bila kubadilika hakika wananchi wengi watakua wamerudi nyuma zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
About 90% ya tuliopata elimu ya chuo kikuu tunafikiria kuajiriwa tu kwasababu elimu ya chuo kikuu, ukiondoa ualimu, ni kumuandaa mtu kuja kuwa afisa ambaye kazi yake ni ya ofisini sana pamoja na kupanga mipango na kisimamia/ kuwapangia kazi watu wa chini.
Kwahiyo tunapokosa ajira inakuwa tatizo kubwa sana.
Kwa mfano mtu aliyesoma finance, food science, microbiology, chemistry, geology n.k hawezi kujiajiri kutokana na zile opportunity zinazopatikana kwenye hizo areas kuhitaji mitaji mikubwa sana na hivyo anajikuta akishindwa kujiajiri katika fani aliyosomea.
Na kuna wengine wanadai kwamba tujiajiri kwenye shughuli kama kilimo, ufugaji na biashara, lakini mimi naona si sawa. Moja ya sababu ni kwamba ,watu wengi wanaofanya hizo shuguli ni watu ambao wana elimu ya form four, std 7 au hawana elimu kabisa. Sasa kulikuwa na ulazima gani wa mm kusoma hadi chuo kikuu na wakati kazi nitakayofanya haihitaji elimu yoyote. Pia lazima kuwe na mgawanyo wa kazi katika jamii, sasa kama mm niliwaacha wenzangu( walioishia lasaba na form four) wanachoma chips au wanafanya kazi yoyote, na mm baada ya kutoka chuo nakuja kufanya kazi ileile. Hapo nakuja kuwapunguzia kipato kwa kugombania wateja.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukiwa serious kwenda kwenye uchumi wa kati KILIMO cha KIBIASHARA ni inevitable.
Tatizo liko wizara ya fedha kuna watu wanawaza kodi tu bila kujua kodi ni outcome ya uzalishaji, procurement of goods & services spending.
Mathalani, tukiwa na serious industrial farming ya pamba, (maana yake) value chain ya kupata vitambaa au nyuzi na mafuta kama end products,
hapo kati kati chemists wataingia kutengeneza madawa ya pamba
watu wa masoko watauza products, wahasibu wataingia ku-manage finances, storage nao wamo. Legal wanaingia kwa ajiri ya mikataa ya mauziano au namna gani mikopo ipatikane kiwanda ku-expand.Food science wanaingia kwenye kutengeneza mafuta ya kula.
Watu wakipata fedha, wataingia uwanjani kuangalia soka.
Agribusiness iko very inclusive. Wanasiasa wetu wana advocate kwa kilimo cha kujikimu.

Naomba niwe mkweli, Wizara ya fedha ina watu hawajui mipango ya kimkakati kukuza uchumi kwa haraka. Wanadhania uchumi ni kuwekeza kwenye miradi ya mikubwa pekee ambayo Return on investment takes forever.
 
Ujasiriamali hausomewi mkuu, haimake sense mwalimu wa ujasiriamali kufundisha hilo somo wakati anastruggle na maisha magumu.
Marekani hata China ukisema entrepreneurs ni watu kama akina Steve Jobs, Bill Gates, Mark Zuckerberg, Jack Ma hata Jeff Bezoz... they used their brain to create or and innovate new business. Kwetu hapa wauza mitumba ndio barabarani tunadhania hao ndio.
Na mara nyingi mambo haya ya kuja na tafsiri za kukoteleza hufanywa na watu ambao sijui huwa wanawaza nini.

Tunge-breed hao watu nchi ingepata hela in return. Mpaka sasa TRA haina imani na biashara inayoweza kuanzia sebuleni kwa mtu. Wao ili wakupe TIN lazima walambe na hela ya pango.
Jeff Bezoz kaanzisha Amazon kwenye sehemu ya kuengeshea gari katika nyumba ya mtu na laptop yake yenye internet.

Mungu tusaidie Watanzania
 
Jiwe angetakiwa afanye kama waliomtangulia. Kila mwisho wa mwezi, Rais anazungumza na Taifa kupitia Tv na redio. Kipind kile nakumbuka tunafatlia kipind kupitia ITV kila saa 3 usiku. Angefanya hivy angalau angeongeza agenda za kushughulika nazo vizur ili mwsh wa mwez aongeleee na kila kipande cha maisha ya watu kingeguswa na siyo kukaa anavyokaaa tu saiv akijisikia kuwa kweny magazet,anajiachia tuu
Jiwe hana maono ya wapi nchi anataka kuipeleka, sasa ukimwambia afanye kama watangulizi ni sawa na kumchoma kwenye kidonda.

Unafikiri atakuwa anazungumzia nini ikiwa uchumi umemshinda, tatizo la ajira kalitengeneza kubwa zaidi baada tu ya kuingia madarakani.

Jiwe hata kama akifanya hivyo atakuwa hana lolote jipya la kuwaeleza Watanzania zaidi ya stori zile zile za kila siku ndege, sgr, tuibiwa sana, nchi tajiri hii, wapo watu wanakwamisha serikali yangu (Tundu Lissu) n.k hapo amekuwa amemaliza hotuba, na akiendelea zaidi ya hapo ni kutukana Watanzania.
 
Hi
Tuweke record hao walimu 91elfu ni walio tuma maombi tu kwa kozi za Sanaa, hiyo haimaanishi kwamba MTAANI Kuna walimu 91elfu tu ambao hawana ajira
Hili la walimu 91000 ni kama robo tu ya walio mtaani. Kuna waalimu wengi sana mtaani mpaka huruma.
Bora hata hao walimu kuna watu kama sociology,business admn, banking na chungu mzima wako kitaa.
Kuna watu walioachishwa kazi kwenye makampuni yaliyofungwa wengi wao nao ajira hakuna.
Kwa mara ya kwanza nimeona kwa macho yangu mtu mwenye cpa akilazimika fanya kazi ya 400k.
Kadri siku zinavyozid na private sectors zinaamua kupunguza mishahara sabab ya competition ya ajira. Najiuliza baada ya 2020 tutaishije?
 
Marekani hata China ukisema entrepreneurs ni watu kama akina Steve Jobs, Bill Gates, Mark Zuckerberg, Jack Ma hata Jeff Bezoz... they used their brain to create or and innovate new business. Kwetu hapa wauza mitumba ndio barabarani tunadhania hao ndio.
Na mara nyingi mambo haya ya kuja na tafsiri za kukoteleza hufanywa na watu ambao sijui huwa wanawaza nini.

Tunge-breed hao watu nchi ingepata hela in return. Mpaka sasa TRA haina imani na biashara inayoweza kuanzia sebuleni kwa mtu. Wao ili wakupe TIN lazima walambe na hela ya pango.
Jeff Bezoz kaanzisha Amazon kwenye sehemu ya kuengeshea gari katika nyumba ya mtu na laptop yake yenye internet.

Mungu tusaidie Watanzania
Kwa kweli aisee
 
Hi

Hili la walimu 91000 ni kama robo tu ya walio mtaani. Kuna waalimu wengi sana mtaani mpaka huruma.
Bora hata hao walimu kuna watu kama sociology,business admn, banking na chungu mzima wako kitaa.
Kuna watu walioachishwa kazi kwenye makampuni yaliyofungwa wengi wao nao ajira hakuna.
Kwa mara ya kwanza nimeona kwa macho yangu mtu mwenye cpa akilazimika fanya kazi ya 400k.
Kadri siku zinavyozid na private sectors zinaamua kupunguza mishahara sabab ya competition ya ajira. Najiuliza baada ya 2020 tutaishije?
Hivi kama mishahara inapungua what about their pension plan?
 
Back
Top Bottom