Daah..mwaka huu tutasikia mengiLabda huijui tuu ww2 ilivoenda. Russia alisha surrender na parts kubwa ya russia ya ulaya ilikuwa imetekwa.na walishaanza kujenga maandaki kuulinda mji wa moskow maana germans walikuwa wanakaribia.wajerumani walichokosea ni kudivert wanajeshi wengi kuiteka kiev na kingine kuwa na maadui wengi.wao wakiwa wachache.na kama lengo lao la vita lingekuwa kuiteka urusi.wangeiteka tuu.maana walikuwa na more advanced weapon
kitu ...Topol[emoji30]
US noma sanaOhio submarines tu za US zinabeba 24 Trident missiles each na zipo 18 na kila Trident inabeba 8-10 nuclear warheads hvyo Ohio submarines tu zinabeba 3456 nuclear warheads na kila baada ya dk.1 submarine inauwezo wa kulaunch 10 nuclear missiles hyo inamaanisha ni 80 nuclear warheads per minute kwa submarine moja na jumla zipo 18...Hpo bado land based nuclear missiles.
Kwa siasa yetu hii..., usishangae mkalitupa kwenye mkutano wa upinzani mkatuletea balaa woteHaaaa ,,Bei gan moja,, inabidi na sis tumiliki angalau 2 tu
KagameKwa ajiri ya kumtwanga nani?
Sio ukweli USSR. Ndo ali play part kubwa zaid kuhakikisha ile vita german amessurrender....ulichokielezea hapo ni propaganda tu za USA...Labda huijui tuu ww2 ilivoenda. Russia alisha surrender na parts kubwa ya russia ya ulaya ilikuwa imetekwa.na walishaanza kujenga maandaki kuulinda mji wa moskow maana germans walikuwa wanakaribia.wajerumani walichokosea ni kudivert wanajeshi wengi kuiteka kiev na kingine kuwa na maadui wengi.wao wakiwa wachache.na kama lengo lao la vita lingekuwa kuiteka urusi.wangeiteka tuu.maana walikuwa na more advanced weapon
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] tuongeze mapangaboi kwanza mkuuHaaaa ,,Bei gan moja,, inabidi na sis tumiliki angalau 2 tu